Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hakika Tanzania kupata kuongozwa na chama cha upinzani ni kazi ngumu sana.
Msikilizeni huyu tena ni mkuu wa shule kabisa lakini anayo yaongea ni sawa na darasa la chekechea.
Alafu watu kama hawa utasikia ndiyo wasimamizi wa uchaguzi hao.
Wapinzani tuna kazi ndefu ya kufanya ili kupata nafasi ya kuliongoza taifa maana vigingi ni vingi sana.
Msikilizeni huyu tena ni mkuu wa shule kabisa lakini anayo yaongea ni sawa na darasa la chekechea.
Alafu watu kama hawa utasikia ndiyo wasimamizi wa uchaguzi hao.
Wapinzani tuna kazi ndefu ya kufanya ili kupata nafasi ya kuliongoza taifa maana vigingi ni vingi sana.