Sasa kama ipo akiba ya kutumia miezi 6 bila kufanya kazi unaonaje kama tukichukua angalau ya mwezi mmoja tu turekebishe mambo ?
Kama akiba haiwezi kutumika kununulia barakoa ili wananchi wajikinge na kuwakinga wenzao dhidi ya coviidii, hiyo akiba itakua na maana au faida gani?Kwa hiyo sababu ya chuki na mkuu wa nchi ndio ukaamua kuunganisha ujumbe wako na kichwa cha habari! Alafu mpaka sasa kuna mapungufu yoyote katika kuhudumia hawa waliougua kwa bahati mbaya mpaka anyofoe toka akiba iliyopo?
Sad enough msaada ulioletwa na jack ma mkaanza kuuza badala ya kutoa bure...Sasa mkuu unataka hizo fedha zitumike halafu baada ya hapo??
Tusiwaamini wanasiasa wa nchi hii.leo wanaongea hili na kesho wanabadilika.subiri kesho utasikia hawana fedha za kulipa mishahara.Tuombe Mungu gonjwa hili liishie mbaliHiyo Akiba ndio muda wake huu kutumika, au hujui kuwa hiyo akiba ni ya kutumika kwa mazingira haya? Je kama hazitatumika sasa, hizo fedha ni akiba kwa ajili ya hali gani?
Nani kasema yote wakati wa majanga kama Kuna akiba unapunguza kidogo kukabiliana na majanga ya Corona.Kwahiyo unataka hela yote ya hazina itumike kutibu korona?
fedha zikiisha na korona akazidi kupamba moto kipi kitafuata?
Tujaribu kutumia akili na sio mihemko ya kisiasa hasa kwenye mambo ya Kitaifa.
Jamaa Yuko kwenye mkakati mkali kuhakikisha anapata kura zote, Hadi za nchi jirani zinazotuzungukaZa kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita
Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.
Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.
Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo
Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.
Je serikali haina taarifa kwamba kuna kiwango cha mitaji kimeshaanguka? Je bado hawana taarifa kuna watu washapoteza ajira? Wamefanya nini kuokoa sector ya utali Tanzania?
Je wanafanya nini kwa watu waliokuwa wamekopa uku wakiwa wanatoa ajira kibao kuweza kuwaondolea malejesho angalau kwa miezi 3 ili kulinda ajira za walalahoi?
,,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Akiba hutumika pale njia zote zipofunga. Ndio unatumia tena kwa akili. Hata ukiwa na kibubu huwezi kukivunja kwa shida ambayo unaweza itatua bila kuvunja kibubu. Kuvunja kibubu ndio inakuwa option ya mwisho kabisa.
We hufai kuwa hata kiranja wa chekechea kwa akili kama hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app