Tuna akiba ya pesa dollar bilion 5.3

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita

Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.

Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.

Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo

Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.

Je serikali haina taarifa kwamba kuna kiwango cha mitaji kimeshaanguka? Je bado hawana taarifa kuna watu washapoteza ajira? Wamefanya nini kuokoa sector ya utali Tanzania?

Je wanafanya nini kwa watu waliokuwa wamekopa uku wakiwa wanatoa ajira kibao kuweza kuwaondolea malejesho angalau kwa miezi 3 ili kulinda ajira za walalahoi?
 
Ndio tunayo 5.3 usd Billion hazina tena ya miezi 6 bila kufanya kazi, ila sis ndo wa kwanza kupitisha bakuri kama utoporo fc.

Wakat mwingine maneno ya wanasiasa wachie wenyewe usiyamini sana
 
Hiyo Akiba ndio muda wake huu kutumika, au hujui kuwa hiyo akiba ni ya kutumika kwa mazingira haya? Je kama hazitatumika sasa, hizo fedha ni akiba kwa ajili ya hali gani?
Akiba hutumika pale njia zote zipofunga. Ndio unatumia tena kwa akili. Hata ukiwa na kibubu huwezi kukivunja kwa shida ambayo unaweza itatua bila kuvunja kibubu. Kuvunja kibubu ndio inakuwa option ya mwisho kabisa.
We hufai kuwa hata kiranja wa chekechea kwa akili kama hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita

Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.

Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.

Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo
Kwa hiyo sababu ya chuki na mkuu wa nchi ndio ukaamua kuunganisha ujumbe wako na kichwa cha habari! Alafu mpaka sasa kuna mapungufu yoyote katika kuhudumia hawa waliougua kwa bahati mbaya mpaka anyofoe toka akiba iliyopo?
 
Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita

Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.

Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.

Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo

Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.

Yaani nchi ya watu milioni 55 tuna $5B pekee hii ni aibu sana.
 
Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita

Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.

Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.

Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo

Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.

Je serikali haina taarifa kwamba kuna kiwango cha mitaji kimeshaanguka? Je bado hawana taarifa kuna watu washapoteza ajira? Wamefanya nini kuokoa sector ya utali Tanzania? Je wanafanya nini kwa watu waliokuwa wamekopa?
na hili janga tena ndio limemuacha jiwe bila nguo kabisa
 
Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita

Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.

Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.

Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo

Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.

Je serikali haina taarifa kwamba kuna kiwango cha mitaji kimeshaanguka? Je bado hawana taarifa kuna watu washapoteza ajira? Wamefanya nini kuokoa sector ya utali Tanzania?

Je wanafanya nini kwa watu waliokuwa wamekopa uku wakiwa wanatoa ajira kibao kuweza kuwaondolea malejesho angalau kwa miezi 3 ili kulinda ajira za walahoi?.

Hakuna pesa za bure! Serikali tayari ilitoa pesa za Mwenge, pesa za sikukuu ya Muungano pamoja na nyingine nyingi ku-facilitate huduma za Covid-19 wewe endelea na majungu ipo siku utatambua zipi ni mbivu.
 
Back
Top Bottom