technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Za kuweza kuendesha serikali kwa miezi 6 bila kukusanya kodi hata nchi ikiwa na janga au vita
Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.
Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.
Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo
Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.
Je serikali haina taarifa kwamba kuna kiwango cha mitaji kimeshaanguka? Je bado hawana taarifa kuna watu washapoteza ajira? Wamefanya nini kuokoa sector ya utali Tanzania?
Je wanafanya nini kwa watu waliokuwa wamekopa uku wakiwa wanatoa ajira kibao kuweza kuwaondolea malejesho angalau kwa miezi 3 ili kulinda ajira za walalahoi?
Mkuu alinukuliwa zaidi ya mala 5 akisisitiza.
Yeye yupo anachangiwa na wakina Rostam,*
Anachangiwa na wachina, anachangiwa na walahoi wa bongo, anaomba mkopo IMF wa 190+US dollar million.
Kumbe Mungu uwa achelewi kuumbua mtu muongo
Tunazidiwa na nchi kama Rwanda, Kenya, South, Misri, Ghana na nigeria wote wametoa pesa hazina kiasi kuokoa uchumi.
Je serikali haina taarifa kwamba kuna kiwango cha mitaji kimeshaanguka? Je bado hawana taarifa kuna watu washapoteza ajira? Wamefanya nini kuokoa sector ya utali Tanzania?
Je wanafanya nini kwa watu waliokuwa wamekopa uku wakiwa wanatoa ajira kibao kuweza kuwaondolea malejesho angalau kwa miezi 3 ili kulinda ajira za walalahoi?