Bajeti ya kunguru
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,371
- 1,041
Jirani akila kuku na wewe ule! Ungekuwa mwanamke huyo mwanaume yangemshinda.
MAGUFULI4LIFE.
MAGUFULI4LIFE.
Ngoja tuone mwisho wake
Huna uelewa kumzidi Jiwe. Ungelikuwa na uwezo huo, ungelikuwa umeishaishauri Chadema ikajenga Ofisi ya Makao Makuu.Sema kuwa hatoi pesa kwenye mahitaji ya watu, ila ingekuwa ni kwenye vitu angefanya hivyo. Hapa sio suala la mihemko, rais badala ya kutoa pesa vinunuliwe vifaa tiba kwa ajili ya ugonjwa unaoshika kasi, yeye anataka watu wasali ili ugonjwa uishe! Una akiba ya $5.3b kama 12t tshs, kisha una kipimo kimoja cha ugonjwa nchi nzima, unaokula maisha ya wananchi wako kisha useme hafanyi maamuzi ya mihemko! Huu sio utetezi bali ni wendawazimu.
Rekebisha kauli yako. Kuna maabara moja tu ambayo ni maabara ya taifa sio kipimo.Ukisharekebisha rudi.
Ok, vipimo gani ulikuwa una maanisha tindo .Chagu huwa sitolewi kwenye hoja za msingi kwa mbinu dhaifu hivyo. Kuna vipimo vingi hilo sikatai lakini ni vya kupima magonjwa kadhaa kama una dalili, ila udhibitisho kabisa wa Covid-19 huwa unapatikana kwa sample kuletwa kwenye maabara ya taifa hapa Dar. Nina uwezo wa kujua kuwa napiga ngumi nzito kiasi gani, hivyo mindgames hazinitoi mchezoni kirahisi. Ninachokisema hapa najua kinaingia kwa kiasi gani kwenye target.
Wewe unashauri tutumie hiyo Akiba kama nani? Tindo mwenye jina la bandia khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeHiyo Akiba ndio muda wake huu kutumika, au hujui kuwa hiyo akiba ni ya kutumika kwa mazingira haya? Je kama hazitatumika sasa, hizo fedha ni akiba kwa ajili ya hali gani?
Yaani nchi ya watu milioni 55 tuna $5B pekee hii ni aibu sana.
Ok, vipimo gani ulikuwa una maanisha tindo .
Hili ni gonjwa jipya kabisa. Halijawahi kutokea hapa duniani. Mpaka sasa kila nchi inajipanga namna ya kukabiliana nalo. Kwa mda huu mfupi unataka kila kanda iwe na maabara? Kwa muda mfupi huu wa siku nne unataka ventilators 3000? Ukiona nchi kama Usa gonjwa linawasumbua weka siasa kando.Vipimo vya Covid-19, sio lazima viwe kila mkoa, lakini wangalau vinaweza kuwa kila kanda ili kusogeza huduma karibu. Mbali ya hicho kipimo cha Covid, Ventilators Ni muhimu hasa kwenye hospitali zinazopokea wagonjwa, ni vyema sehemu zenye wagonjwa wengi zikipata upendeleo wa ziada.
Kwahiyo ata ile:"msema kweli ni mpenzi wa Mungu" ni uongo, eti?Yaani,uliamini yale maneno?most of his words are not to be trusted
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna uelewa kumzidi Jiwe. Ungelikuwa na uwezo huo, ungelikuwa umeishaishauri Chadema ikajenga Ofisi ya Makao Makuu.
Hili ni gonjwa jipya kabisa. Halijawahi kutokea hapa duniani. Mpaka sasa kila nchi inajipanga namna ya kukabiliana nalo. Kwa mda huu mfupi unataka kila kanda iwe na maabara? Kwa muda mfupi huu wa siku nne unataka ventilators 3000? Ukiona nchi kama Usa gonjwa linawasumbua weka siasa kando.
Aibu kwako ambaye hufahamu haya mambo huwa yanafanyika vipi, miezi 6 sio nchezo haijawahi kutokea tangu tupate tupate uhuru (nafikiri kama ilitokea ni wakati wa mwl Nyerere tena kabla ya Azimio la Arusha au baadaye kidogo). Nenda kaangalie statistics uweke hapa.
Haibadilishi ukweli kwamba ni pesa ndogo sana. Tumekuwa watu wa kuringia umasikini siku hizi. Yaani na rasilimali zote za Tanzania Gas, mbuga, mashamba na watu milioni 55 unataka kusifia $5B inawezekana wewe hujui hii pesa ilivyo ndogo. Corona yenyewe inaweza kuchukuwa hata mwaka. Kuna mambo mengi hayajawahi kutokea Tanzania kwasababu ya viongozi wabaya lakini hii bado ni ndogo sana
Mkuu hebu nitajie nchi 10 tu, katika Afrika ambazo zinaweza kuwa na akiba ya miezi sita? Then tulinganishe. (NB: Ondoa nchi ambazo zinauza mafuta). BTW niliomba statistics mbona hujaleta au ndio ule ubishi wa kakakuona?
Ususahau kua sisi ni donor country, nchi tajiri, uwezo huo tunao. Tutoe pesa kuokoa uchumi. Pesa ipo ya kuendesha nchi mkezi 6 ya dharula.Kweli aisee. Kuna post nyingine ukisoma aibu unaona wewe msomaji. Hiyo akiba kwetu huwekwa katika dollars na huwa na lengo la kuukimu uchumi kuagiza bidhaa nje ambazo ni lazima kulipa kwa pesa hizo za kigeni.
Hivyo hao ndugu watoa maoni kuwa hazina itumike wakati huu ambapo hatujui hata mwelekeo halisi wa tatizo hili, ndio wale ambao huendaga shule kusomea ujinga.
Wanaposikia Marekani inatoa $tr. 2 kuutibu uchumi wao wanadhani na sisi pia tuna uwezo huo.
Sent using Jamii Forums mobile app