Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Umeandika pumba tupu. Hivi una uhakika Magufuli ndio mtekaji???
Utaendelea kujifariji kwa comment kama hizi na member wenzio humu ndani usiporuhusu ufahamu wako ufanye kazi mpaka akili ikukae sawa.

Hapo kwenye sentensi ya alama ya kuuliza, ni kwamba unapigia jibu mstari au unauliza vumbi darini?
 
Hicho ndiyo kizazi cha nyoka chini ya mafundisho ya chakubanga
 


Tatizo sio maendeleo au mipango ni maono ya viongozi. Jinsi Magufuli alivyo endesha uchaguzi wa 2020 ni ngumu kumzidi Raisi wa Ghana na uchaguzi wao wa kidemokrasia.Vilevile kuhusu mkata mpya wa soko la pamoja la AFRICA Magufuli hasikiki kabisa, sio muongeaji mzuri kimataifa na ametengeneza maadui pasipo lazima
 
aiseeeeeeee ndo kizazi Cha Sasa lilivyo kmmk
 
Mtaji wa mwanasiasa ni siasa..... Ndugu yangu uliondoka ACT kwa mbwembwe, nikukumbushe tu njaa haina baunsa, ungekua unamiliki sheli, mabasi, kiwanda usiongea huu ujinga, ungekua rubani, engineer mkubwa mwenye kampuni, ungekua daktari bingwa wa magonjwa ya ubongo usingepata muda wa kusifia na kuongea ujinga..... Nakukumbusha tena kijana njaa haina baunsa
 
Unamtindio wa ubongo,hii makala yako ni dog shit,
Yaani uzuri wa Maghufuri,ndio ubaya wa Nana,
Umesema Nana ana mawaziri wengi,125,Magu anao wachache,kwahiyo Maghu ni mzuri.
Nana amekopa sana,Maghu hajakopa,kwahiyo Maghu ni bora,
Ajira Ghana ni ngumu,kwahiyo Maghu ni bora.
Hii makala yako imejaa ushabiki mtupu,
Bongo,Maghu amebaka demokrasia,mwaka jana tu alizima internet aibe kura.
Ndio kipindi pekee,serikali imeendesha vitendo vya kijambazi vya kuua watu,Na kuumiza,Rejea tukio la Lisu,Ben saanane,
Tangu ameingia sekta binafsi imekufa,
Taasisi zote,bunge,Takukuru,polisi,zinafsnya kazi kwa kumsikiliza yeye,
 
Safi sana Suphian naona na namba ya simu umeweka hapo lakini nina uhakika hapo Lumumba wanayo namba yako hivyo hawawezi kupata shida kukupata pindi ukipata uteuzi.

Uteuzi utasaidia uache kuandika andika mambo yasiyo na kichwa wala miguu kama haya uliyoandika hapa. Mwenzio Kitila huu ujinga wa post zisizoeleweka ameacha kuleta humu
 
Nani anateseka sasa? Sisi tupo Ikulu nyie mpo kwa Amsterdam. Haya nani anateseka hapo
WE lini ulienda ikulu na nani?,ikulu ipi kwanza unaiongelea ya Dar,chamwino au zile za mikoani, maana ninavyojua hata kwenye malango tu hujafika.
 
Soma hapa
 

Attachments

  • Screenshot_20210106-155327.png
    143.7 KB · Views: 1
ooh ok ok thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…