Tumia njia hii kunasa mchepuko wako

Tumia njia hii kunasa mchepuko wako

Mchepuko hauandikwi jina wanakariri namba mzeee...utasubir meli morooo
 
Offense is the best defense. Badala ya kufikiria mbinu za kukamata mwizi, invest kwenye yale yatakayomfanya atoke, that way akose vishawishi.

You won't be doing that for her, but for you. That way when you really find out she be letting other people in, you can catch a body(s) and live with it.
Dunia ni tata sana...ukiikariri utaishia kuchanganyikiwa..kuna best friend wangu alikuwa na msichana wake, yule msichana alikuwa analilia sana kuwa rasmi (kuolewa) siku ameenda kumvisha yule binti pete ya engagement kwao mkoani ndio siku ilikuwa ya kuijaza furaha na hitaji la yule binti....wamemaliza mambo ya engagement na kulipiwa posa na nusu ya mahali jamaa akapanda gari kurud kwenye shuguli zake....usiku ule yule binti na pete yake mpyaaa na furaha zake akampigia simu X wake wakadate. "Inauma sana"
Tusikariri vitu ktk maisha, hizo theory za magazetini ni tofauti na uhalisia wa maisha ya mtu mmoja mmoja
 
Mmmh! Najua wazee wakuchepuka wamevutiwa na heading sana.

Iko hivi kama una mke au mume na humuamini unahisi kabisa ana mtu nje fanya njia hii kupata uhakika ila angalizo kama huna moyo mpana acha au kama unampenda sana acha pia,kama anatumia simu na unahisi kwenye simu kuna namba zakutia mashaka fanya haya.

Nenda kwenye ile namba ifute tazama jina lililoandikwa kwenye hiyo namba ingiza namba zako nyingine ambazo hata yeye hazijui andika jina hilo hilo, kama mtumiaji anatumia whatsapp ndio rahisi zaidi, angalia picha gani ameweka mshukiwa wako na wewe weka hiyo hiyo, kwakuwa umeshafuta ile namba kwenye simu yake hataweza kushtukia.Sasa hapo we kula kona anza kuchat utajua kila kitu kuhusu huyo unaemtilia mashaka.

Naomba niwaambie tu kesi yoyote huko mimi simo,msisahau kuleta mrejesho pia hapa,

Mwisho kabisa michepuko haifai tulizaneni kwa waislam nendeni mkasome Qur'an 17 :32
Duh hii kibokooo
 
kuna njia nyingi sana za kufanya kama unamashaka. chunguza cm ya huyo unaetaka kumfwatilia anatumia apps gani kulock cm yake, haswa upande wa sms, tweeter, what' app n. k. kisha njo pm nikufundishe jisni yakutoa lock na kusoma unachotaka.
asanteni
 
We nae wengine wamekremu namba hata ukiweka jina hilo hilo namba ni tofauti
Hujaelewa. Atakapopigiwa litakuja jina na sio namba. hapo atadhani anachat na mchepuko wake, kumbe mume/mke.
 
kuna njia nyingi sana za kufanya kama unamashaka. chunguza cm ya huyo unaetaka kumfwatilia anatumia apps gani kulock cm yake, haswa upande wa sms, tweeter, what' app n. k. kisha njo pm nikufundishe jisni yakutoa lock na kusoma unachotaka.
asanteni
Tufundishe
 
Back
Top Bottom