Bora tu umwambie, hiyo njia yake ya kitoto sanaWataalam wa michepuko hawasevu namba kwenye simu zao..wanakremu tu kichwani..
hahaa mkuu pole sana huyo kazidi.That makes two of us mkuu, wakati mwingine huyu wangu ni Kama anafanya juhudi nijue kabisa
Ha ha ha , mkuu mimi siku hizi hata presha sijipi kabisa. Nishaacha ufukunyuku, nimekomeshwahahaa mkuu pole sana huyo kazidi.
Na hata ukipata hzo password zake uwezi fanya kitu lazima ukutwesi mpaka uipate hiyo simu.
hakuna njia zaid ya kuacha hio tabianamtuekee njia za kuchepuka na mke wa mtu bila kushikwa
Nimefurahishwa sana na maoni ya beibe smith"simu zina pattern kama nyumba ya buibui"Mmmh! Najua wazee wakuchepuka wamevutiwa na heading sana.
Iko hivi kama una mke au mume na humuamini unahisi kabisa ana mtu nje fanya njia hii kupata uhakika ila angalizo kama huna moyo mpana acha au kama unampenda sana acha pia,kama anatumia simu na unahisi kwenye simu kuna namba zakutia mashaka fanya haya.
Nenda kwenye ile namba ifute tazama jina lililoandikwa kwenye hiyo namba ingiza namba zako nyingine ambazo hata yeye hazijui andika jina hilo hilo, kama mtumiaji anatumia whatsapp ndio rahisi zaidi, angalia picha gani ameweka mshukiwa wako na wewe weka hiyo hiyo, kwakuwa umeshafuta ile namba kwenye simu yake hataweza kushtukia.Sasa hapo we kula kona anza kuchat utajua kila kitu kuhusu huyo unaemtilia mashaka.
Naomba niwaambie tu kesi yoyote huko mimi simo,msisahau kuleta mrejesho pia hapa,
Mwisho kabisa michepuko haifai tulizaneni kwa waislam nendeni mkasome Qur'an 17 :32
Hahahahaha haina noma mkuu ni PM
Mkuu iyo avator yako vp. Ni Liwale nin ukuAiseee, ngoja nika practice kuanzia wiki ijayo..
App locker ipo.Ina maana mpaka kuoga wanaingia nazo? Au Ndio Yale Maisha ya password Kila kona
NopeMkuu iyo avator yako vp. Ni Liwale nin uku
App locker ipo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]code fulani hivi ili kujua kama ndiye. Mfano mnasema Tabora,anatakiwa ajibu kinyume chake. ie Rabota
ndo mnaendelea
we waache wahangaikeHa ha ha bora umetuliza moyo maana wengine wako serious kujaribu huku hawapindui