upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,086
- 4,527
Mimi nina kaNokia ka tochi maalumu for mipango ya kando,hakajawahi ingia ndani kwangu kanaishi ofisini.Joking....
Mhhh ila usimuache akawa loose tu,internal controls zina umuhimu wake atiiHivi vitu unaweza fuatilia kwenye simu kumbe mtu anamegwa ofisini au mkata majani ,kumfuatilia mwanadamu ni kupoteza muda bure
Kuna mi pasword kama rugha za kirumi!Ina maana mpaka kuoga wanaingia nazo? Au Ndio Yale Maisha ya password Kila kona
Ha ha ha bora umetuliza moyo maana wengine wako serious kujaribu huku hawapinduimi najua nasalitiwa sina haja ya kujihangaisha
Haha mwanadamu sio mbuzi ndugu yangu ,kumfuatilia au kutomfuatilia doesn't make any difference to meMhhh ila usimuache akawa loose tu,internal controls zina umuhimu wake atii
Tena vilaza wana claiming capacity kubwa [emoji85] [emoji85] !Wataalam wa michepuko hawasevu namba kwenye simu zao..wanakremu tu kichwani..
msaada kwa wale wapenzi wao wanatumia password, pattern n.k kosea mara kibao ili ngoma iji_lock hawatatumia tena hizo mambo, au jaribu kuweka simu yako wazi wazi sana bila passwd ili umzoeshe mwenzio kumbe naye ajaribu kuweka wazi wazi ili ufanye kama ulivoagizwa na mtoa uzi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimeipenda hiiMimi nina kaNokia ka tochi maalumu for mipango ya kando,hakajawahi ingia ndani kwangu kanaishi ofisini.Joking....
mkuu hiyo gari kwenye avatar yako ilikuwa inaenda wapi?mbn kama njia ya kuzimu hivi?Aiseee, ngoja nika practice kuanzia wiki ijayo..
Unaweza ukafa Mimi nilishawai kufatilia nikajuta nimemuachami najua nasalitiwa sina haja ya kujihangaisha
Kuna mi pasword kama rugha za kirumi!
code fulani hivi ili kujua kama ndiye. Mfano mnasema Tabora,anatakiwa ajibu kinyume chake. ie RabotaBora wengine tuna salam zetu kabisa tumejiwekea...