Sasa unasema ni bila kikomo wakati ina time limits ie saa 6-1 asbh? au bila kikomo inamaanisha nini?
Wizi tuu! Lipeni kodi mnayostahili kulipa, nchi haiwezi kuendeshwa kwa kodi ya pombe tu na sigara.kwa wale wanaotumia voda kuanzia saa 6usiku - 1asubuhi kwa Tsh 300. Kujiunga piga *300reli
kwa wale wanaotumia voda kuanzia saa 6usiku - 1asubuhi kwa Tsh 300. Kujiunga piga *300reli
Sasa unasema ni bila kikomo wakati ina time limits ie saa 6-1 asbh? au bila kikomo inamaanisha nini?
FeedBack
Ukiunga inakubali. (Nimejiunga jana jioni Just for testing)
Speed ni yaukweli not limited. Tazama ScreenShot (leo at 04:58am)
Na kwa Parallel Download
Modem ninayootumia ni E173 (7.2Mb/s)