Tumheshimu Rais wetu Kikwete

Tumheshimu Rais wetu Kikwete

Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu

Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.

Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.

Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!
dada bikira, wewe ni chadema full ila umekuja hapa kwa ajili ya kuwaprovok machedamist. ni wajinga tu watakaohangaika na wewe sio sisi werevu.
 
Heshima ni BARABARA MBILI, nipe nikupe. Tembo wanaondoka wakiwa hai, magaidi wanafanya vikao Magogoni jinsi gani ya kwenda kuwaua MA-KAFIRI na kuligeuza Taifa la Kiislamu; nani aliyemchagua rais kwa mambo kama haya??????????
 
Kudadadadeki zenu hivi mnataka J. K awafanyie nini nyie watu mso haya!?.
 
Heshima ni BARABARA MBILI, nipe nikupe. Tembo wanaondoka wakiwa hai, magaidi wanafanya vikao Magogoni jinsi gani ya kwenda kuwaua MA-KAFIRI na kuligeuza Taifa la Kiislamu; nani aliyemchagua rais kwa mambo kama haya??????????



Sidhani kama huyu alichaguliwa.
 
Umesha piga viroba eeh! Mie namheshimu anayejiheshimu na kuniheshimu, so mie ndo natakiwa kuiheshimu mamlaka ya Mungu ila kina JK wao wasiiheshim sio? Pambafu sana

Sent from my Nokia 3310 using JamiiForum
 
Semeni yote musemayo yeye ndio Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania. Mkinuna, mkikataa haituhusu. Kama ikikuuma sana jinyonge au kunywa sumu ufe. Rais MAO Tse Tung aliwahi sema "Ukiwa Kiongozi na ukafikiri watu wote wanakupenda basi we utakuwa mjinga" Hata katika familia zenu hampendani nyote sembuse Mtu baki? JK we ni jembe hata baba Yao Mbowe alikupigia magoti na kukumwagia sifa lukuki sembuse hawa wafuasi. Mungu akupe afya njema utimize uliyoahidi na ifikapo 2015 tuwapige mchana kweupe.Na hakika wazee wa laptop hapo Kinondoni ndio utakuwa mwisho wenu wa kupata ridhki. Kidumu chama tawala.
 
Umesha piga viroba eeh! Mie namheshimu anayejiheshimu na kuniheshimu, so mie ndo natakiwa kuiheshimu mamlaka ya Mungu ila kina JK wao wasiiheshim sio? Pambafu sana

Sent from my Nokia 3310 using JamiiForum

Hata usipomuheshimu sisi inatusaidia nini au JK inampunguzia nini? Wee hata baba yako humu humuheshimu sembuse JK? Malizia mwenyewe tusi lako Kama ulivyosema hapo juu......
 
Kudadadadeki zenu hivi mnataka J. K awafanyie nini nyie watu mso haya!?.

Mkuu Mjenga nitakujibu baadaye nini awafanyie maana hawataki kuona hata kusikia.......labda awaoe ndio waridhike.
 
Semeni yote musemayo yeye ndio Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania. Mkinuna, mkikataa haituhusu. Kama ikikuuma sana jinyonge au kunywa sumu ufe. Rais MAO Tse Tung aliwahi sema "Ukiwa Kiongozi na ukafikiri watu wote wanakupenda basi we utakuwa mjinga" Hata katika familia zenu hampendani nyote sembuse Mtu baki? JK we ni jembe hata baba Yao Mbowe alikupigia magoti na kukumwagia sifa lukuki sembuse hawa wafuasi. Mungu akupe afya njema utimize uliyoahidi na ifikapo 2015 tuwapige mchana kweupe.Na hakika wazee wa laptop hapo Kinondoni ndio utakuwa mwisho wenu wa kupata ridhki. Kidumu chama tawala.

sawa,lakini ukweli utabaki pale pale.HAKUCHAGULIWA KIHALALI FULL STOP
 
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu

Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.

Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.

Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!

We Mpmbv kweli, toka lini Mungu akahusika na siasa, jinga sana wewe!
 
Usimwonee huruma hata Nyerere kipenzi cha watanzania wengi pamoja na mazuri yake mengi lakini na yeye pia aliitwa majina mengi ya kashfa na sifa.Aliitwa MCHONGA MENO,MUSA HAAMBILIKI nk.
 
Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu

Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu.

Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji kazi wake.

Zipo njia nyingi za kumfikishia ujumbe but not going beyond na kumwita dhaifu!

Ataweza kuheshimika tu kama na yeye akiukubali ukweli kwamba nchi imemshinda na akaachia ngazi ili wenye uwezo waiendeshe badala ya kuendelea kutupotezea muda, mali na amani iliyokuwapo.
 
Back
Top Bottom