Tumeumia, lakini chonde chonde tusiandamane...

Zitto kama ana vidhibiti vya kuchezewa rafu anaweza kwenda mahakamani.

Kabla hujaandamana jiulize;

1. Je, lengo lako ni kupindua serikali iliyoko madarakani? Kama ndio, je uko tayari kupambana na vyombo vilivyowekwa kisheria kuilinda serikali isipinduliwe? Je, uko tayari kukabiliana na kesi ya uhaini?

2. Nini unategemea kitatokea baada ya hayo maandamano? Kama ni uchaguzi mpya, je nani ataitisha huo uchaguzi na kwa mujibu wa sheria ipi? Kama ni tume mpya, je nani ataiunda na kwa kutumia sheria gani?

3. Je, una uhakika watu wote wanaokuja kuandamana wana lengo lilelile unalofikiria wewe kichwani? Hakuna mtu anayetaka kutumia maandamano hayo kufanya uhalifu? Iwapo watakuwepo wahalifu, je uko tayari kuwa sehemu ya watakaochukuliwa hatua ya uhalifu?
Mwenye masikio naasikie.
 
Waliojiandaa kwa silaha kwenda vitani dhidi ya waandamanaji walio katika haki yao ya msingi ya kuonyesha mawazo na hisia zao tu, hawana jina zaidi ya kuwa kumbe si wezi tu bali ni majambazi.

Wacha tuone watatukamata, kutupiga au watatuuwa wangapi?

Acha tuone pia kiongozi wao hatufai kwa kiwango kipi.

Dunia itakuwapo pia kuona.

Wajue pia kuwa nao hawatabaki salama.
Okey. Kila la heri shujaa.
 
Back
Top Bottom