Wajinga wanadanganyana. Ni uhuni mkubwa kuvunja vifaa vya bunge na ni uhuni mkubwa kwa mbunge kupiga askari
Kwa hiyo wewe unaona ni sawasawa askari kuumburuta mbunge na kumpiga teke. Jamani, tujifunze kuwa rational na wastaatabu.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums