Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Wajinga wanadanganyana. Ni uhuni mkubwa kuvunja vifaa vya bunge na ni uhuni mkubwa kwa mbunge kupiga askari

Kwa hiyo wewe unaona ni sawasawa askari kuumburuta mbunge na kumpiga teke. Jamani, tujifunze kuwa rational na wastaatabu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Poleni sana makamanda,tuko pamoja.Ukiona hivyo ujue haki inakaribia kupatikana.
 
Kila la heri malaika wetu, natumai mtamtoa huyo green devil
 
Safi sana Dogo Janja. Jaribu kukaa naye umueleze kuna tofauti kubwa kati ya kuwa baa na bungeni. mambo ya kijinga haya ya kutumia nguvu za mwili awaachie wala msuba wengine. Pale ni sheria na taratibu tuu ndiyo zinafuatwa. Ni akili ya mlevi tu ndiyo inaweza kufikiri kwamba naibu spika kwa mamlaka yake katoa amri kwa wanausalama wa bunge kumtoa nje KUB halafu eti yeye anaweza kutengua amri hiyo kwa kutumia misuli yake. SHAME ON YOU SUGU!:bored:
anda shame on you gamba!
 
Baada ya Mwenyekiti na KUB Mbowe kusikia kuwa Sugu anatafutwa na polisi, jioni hii tumeamua kuripoti makao makuu ya polisi mkoa wa Dodoma ili kuondoa sintofahamu iliyokuwepo.

Tumeripoti na Mhe. Mbowe, Lissu, Sugu, Mnyika na Mimi mwenyewe.

Kwa hatua ya sasa Sugu anaandika maelezo kwa RCO akisaidiwa na wakili Tundu Lissu.

Tutawajulisha kitakachojiri

hamna lolote nyinyi,mtatoka,mtarudi
 
Polisi katika kufanya kazi za CCM, ndugai naye anawatwisha mzigo mwingine, poleni polisi mtafanyaje ndio kazi mliyotaka na mmekubali wenyewe kuitumikia ccm bila aibu.

Hilo nalo litapita kama mengine, hakuna kesi hapo, labda huyo askari wa Bunge ana hamu ya kuandikwa kwenye media
 
Kwa hiyo wewe unaona ni sawasawa askari kuumburuta mbunge na kumpiga teke. Jamani, tujifunze kuwa rational na wastaatabu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

acha ujinga wewe ulitegemea askari wanapozuiliwa kutekeleza majukumu wafanyeje,ulitak wapige magoti kwa Sugu
 
Nasari na wahuni wenzako, mnapaswa kushughulikiwa na dola. Wajinga sana nyie, hii nchi ni yetu sote sio mnakula kodi zetu halafu mnafanya utoto bungeni
kwa hiyo ambao hawafanyi utoto ni wale wanaotukana wenzao kuliko kujadili mada iliyopo? Je ni wale wanaosema ndio?
 
pamoja sana makamanda,nina masikitiko makubwa sana,mbunge wangu jana hakumpiga askari yoyote hiyo kitu imeniumiza sana...nampongza sana sugu....
 
Kila la kheri Dogo,tunasikitishwa na udikteta wa naibu spika
Huyu Naibu spika hajitambui kabisa kwani nasikia hajui anawatoto wangapi kitu ambacho ni aibu na ndio maana Bunge kwa sasa halina Tija na manufaa yeyote kwa watanzania zaidi ya kututia hasara tu maana wanalipana Posho mwisho wa siku wanajadili mambo kipumbavu.
 
Ni kweli wasije fanya kama walivyomfanyia Ponda

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mbunge ukimuangalia hata macho tuu unajua amelipuliza,hivi hapo kweli chadema mnaweza kujivuna mna mwakilishi wa watu
 
km uhuni anaoufanya mbowe wa kutumia vibaya nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni kuongoza uhuni, vurugu, kupiga askari na kutukana badala ya kujenga hoja
mkuu hayo uliyosema una utani na kigwangalla na serukamba wewe!
 
acha ujinga wewe ulitegemea askari wanapozuiliwa kutekeleza majukumu wafanyeje,ulitak wapige magoti kwa Sugu

Mjinga ni wewe unayeona sawa askari kuwapiga wabunge mateke bila sababu. Akili zako na za Ndugai zinalingana. Pathetic.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom