Tumefika hapa kwa sababu ya Kikwete kumlea vibaya Ridhiwani kuihusisha familia yake kwenye masuala ya uongozi

Magufuli hakumhitaji Kinana wala mjinga yoyote kushinda ule uchaguzi Magufuli alikuwa na mkono wa chuma na ndio uliomrudisha Ikulu.
Huo mkono wake Chuma mbona hajautumia kumzuia malaika mtoa roho, acheni kumtukuza huyo mungu wenu bandia
 
Hasara aliyolitia Taifa hiki Mwendakuzimu Magufuli ni kubwa kuliko hasara yeyote Kuwai kutokea

Kaleta deni la Taifa ni 30 Tril leo tunaona ni 77 Trillion
Kajikwapulia pesa nyingi Kwa kivuli cha uzalendo

Magufuli Kafanya manunuzi hewa mengi kuliko Rais yeyote kuwai kufanya akitaka ten percent zake
 
Statistics ndiyo shule niliyosoma mimi!
Then mwalimu aliyekufundisha kuwa probability inavuka 100% ni mpuuzi au ulikuwa unalala darasani, hivyo ulipata degree ya chupi. Nikufundishe ni kuwa probability ipo kati ya 0 to 100% nasema kati au 0<p<100% au kati ya 0 na 1 Prob: 0<p<1. Ikiwa ni 0 maana yake event will never happen if p is the probability of event to happen. na ikiwa p=1 hivyo hiyo event imehappen. Hakuna probability iwapo ni 0 au 1 maana itahappen au haita happen. Hivyo probability lazima iwe na uncertainilty. Ngoja nikuache dogo ukale viazi
 
Watamuua maramoja hawa watu wananguvu sana siyo wakutumia nguvu kupambana nao, inahitaji akili kubwa sana.
 
Toa mifano mkuu ya huo ubaguzi kwa faida ya wapiga mapambio waelewe kabisa.
 
Kweli kabisa ishini km Mashetani shetani wenu mkuu kafa! mkitaka mfuateni ahera! Kikwete hata akipiga Cha juu Bongo yeote mwacheni tu!
 
Kweli kabisa ishini km Mashetani shetani wenu mkuu kafa! mkitaka mfuateni ahera! Kikwete hata akipiga Cha juu Bongo yeote mwacheni tu!
 
Mpaka Mungu alikasirika! akaona hakuna jinsi afe tu!! kaiba weee!! mpaka akaogopa mwenyewe! sasa anatumikia adhabu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…