Wanajaribu kumblackmail mama teh teh teh
Magufuli ndo alikuwa na Nepotism, Ukanda, Udini na Ukabila.
Mwacheni Samia achape kazi, tena namuomba sana mheshimiwa Rais atusaidie kuondoa Udini, Ukabila na Ukanda vilivojiinua sana kipindi cha mwendazake, tunataka kuona watu wa makabila yote, dini zote, kanda zote wenye vigezo wakiwemo katika serikali yake bila kulaliaa upande mmoja