Data zako ni sahihi kabisa.Hawa jamaa wamenunuliwa na Freemasons ili waingize ujinga wao kama ushoga kwenye katiba.Nawashanga akina Mvungi, Warioba ,Butiku na Baregu kukubaliana na ufisadi unaofanywa na tume,huku wao ndio waliokuwa wanajifanya Makomandoo dhidi ya vita ya ufisadi.Ndugu zetu poleni sana,kumbe ilikuwa njaa tu. tayari.
Source muandaaji wa malipo.
Jamani watu wanapopewa madaraka katika serikali yetu huwa kuna kamsemo "KAULA" sasa ndo nazidi kupata picha ya kauli hiyo.
Je ni watanzania wangapi wanaweza kuamini kuwa wajumbe wa kamati ya katiba wanalipwa sh. 300,000/= kwa siku katika shughuri zao toka waapishwe?
Najua sio rahisi kuamini lakini ndo ukweli wa mambo.
Na mtoa taarifa kadai kwanza tume hii haikuwa kwenye bajeti na imechangia kukwamisha baadhi ya miradi na huduma kwa jamii kwa sababu lazima walipwe na watimiziwe wanayotaka.
My concern;
Sasa kama wanafunzi wanakosa mikopo na wafanyakazi wanakosa mishahara kwa wakati kwa manufaa ya wachache tunaenda wapi????