Hujaelewa ni kwa nini mpaka leo Ezekiel Maige analalama kwamba ameonewa? je Mwakyembe hukuona alivyotoka India haraka haraka kabla hata hajamaliza matibabu ili asitemwe Uwaziri na akawashushuwa viherehere wote waliokuwa wanashabikia kwamba kawekewa sumu?
Si kweli!Mimi nadhani malipo haya ni halali kabisa, na hata malipo ya wafanyakazi yalipaswa kuzingatia vigezo walivyotumia kuilipa tume.Kumbukeni kwamba hawa watu wamekubali kuacha kwa muda majukumu yao binafsi ya kila siku, kwa mamana nyingine shughukli zao au makampuni yao yatapungukiwa na ufanisi kwa wao kutokuwepo ktk usimamizi.
Kwa hiyo lazima wewe uliyewateua bila wao kuomba u-compansate loss that they going to encounter a loss of their business income due to their absence.
ww mtoa mada acha kuwadanganya watu wenye akili zao,apo kwenye 300,000 mi sjui lakini Wamenunuliwa magari 60 sio kweli,we sema una yako ya kunyimwa boom, jipange upya apo tunekushtukia.
Hii ni kashfa nyingine. Warioba, Salim na Augustino Said wanalipwa pensheni ya viongozi wakuu wastaafu. Ifuatiliwe tujue kama nao wanapokea posho hizi ili tuwaanike majukwaani jinsi wanavyotuibia. Si haki kuwatendea wananchi hivi hata kama sheria inaruhusu wakati vyouni wanachuo wanaambiwa serikali haina pesa ya mkopo. Nimemsoma juzi Maige alivyoandika kuwa kajiwekea hazina Mbinguni nikashangaa ni Mbingu gani anayoiongelea.Mzee wetu Butiko kulalama kutapungua sasa. Mwenyekiti Warioba yeye ni laki nne mbali na pensheni yake nzito ya 80% ya mshahara wa Makamu wa Rais kila mwezi. Hofu yangu mimi ni kama unalipwa namna hii kama vile UNAHONGWA unabaki HURU kweli? Sio kwamba anayekulipa ndie anachagua wimbo? Mzee Warioba na wenzako mna uchungu na hali ilivyo kwa WATANZANIA walio wengi? Cabinet mpya Ufaransa juzi wameamua kupunguza mishahara yao kwa 1/3.
ww mtoa mada acha kuwadanganya watu wenye akili zao,apo kwenye 300,000 mi sjui lakini Wamenunuliwa magari 60 sio kweli,we sema una yako ya kunyimwa boom, jipange upya apo tunekushtukia.
Source muandaaji wa malipo.
Jamani watu wanapopewa madaraka katika serikali yetu huwa kuna kamsemo "KAULA" sasa ndo nazidi kupata picha ya kauli hiyo.
Je ni watanzania wangapi wanaweza kuamini kuwa wajumbe wa kamati ya katiba wanalipwa sh. 300,000/= kwa siku katika shughuri zao toka waapishwe?
Najua sio rahisi kuamini lakini ndo ukweli wa mambo.
Na mtoa taarifa kadai kwanza tume hii haikuwa kwenye bajeti na imechangia kukwamisha baadhi ya miradi na huduma kwa jamii kwa sababu lazima walipwe na watimiziwe wanayotaka.
My concern;
Sasa kama wanafunzi wanakosa mikopo na wafanyakazi wanakosa mishahara kwa wakati kwa manufaa ya wachache tunaenda wapi????
Si mnataka katiba mpya sasa mnalalamika nini? Kombani aliwaambia hatuwezi kuandika katiba mpya sababu ni ghalama kubwa, mkamuona mpumbavu..
Ukiwafuatilia watakwambia hii ni posho sio mshahara! JMK alikuwa anakerwa mno na kelele za wazee hawa. Amewanyamazisha permanently. Amewapa kazi ambayo kwa umri wao haikupaswa kuwa yao. Katiba mpya itamsaidia nini Warioba, SAS, Butiko na Agustino Ramadhani ambao wameshavuka 70?Hii ni kashfa nyingine. Warioba, Salim na Augustino Said wanalipwa pensheni ya viongozi wakuu wastaafu. Ifuatiliwe tujue kama nao wanapokea posho hizi ili tuwaanike majukwaani jinsi wanavyotuibia. Si haki kuwatendea wananchi hivi hata kama sheria inaruhusu wakati vyouni wanachuo wanaambiwa serikali haina pesa ya mkopo. Nimemsoma juzi Maige alivyoandika kuwa kajiwekea hazina Mbinguni nikashangaa ni Mbingu gani anayoiongelea.