Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,406
- 43,740
Nilisema hapa siku moja baadhi ya wachangiaji wakasema ni umbea
Kweli mkuu ulishawahi kuleta huu uzi mie pia nilikupinga lakini leo nimeona kwenye vyombo vya habari nimeudhunika sana...big up mkuu.
Nilisema hapa siku moja baadhi ya wachangiaji wakasema ni umbea
Nilisema hapa siku moja baadhi ya wachangiaji wakasema ni umbea
Hivi tume imejaa, au bado inahitaji watu? Nataka kuomba kujiunga nayo!
Tusipokuwa makini JF itakuwa kijiwe cha porojo wewe usipende kuokota maneno mitaani unaleta JF, unasema wanalipwa 300,000 kwa siku ni posho tu hiyo bado mshahara wanalipwa kiasi gan?
Source muandaaji wa malipo.
Jamani watu wanapopewa madaraka katika serikali yetu huwa kuna kamsemo "KAULA" sasa ndo nazidi kupata picha ya kauli hiyo.
Je ni watanzania wangapi wanaweza kuamini kuwa wajumbe wa kamati ya katiba wanalipwa sh. 300,000/= kwa siku katika shughuri zao toka waapishwe?
Najua sio rahisi kuamini lakini ndo ukweli wa mambo.
Na mtoa taarifa kadai kwanza tume hii haikuwa kwenye bajeti na imechangia kukwamisha baadhi ya miradi na huduma kwa jamii kwa sababu lazima walipwe na watimiziwe wanayotaka.
My concern;
Sasa kama wanafunzi wanakosa mikopo na wafanyakazi wanakosa mishahara kwa wakati kwa manufaa ya wachache tunaenda wapi????
Je smz wanachangia NGAPI?????
ww mtoa mada acha kuwadanganya watu wenye akili zao,apo kwenye 300,000 mi sjui lakini Wamenunuliwa magari 60 sio kweli,we sema una yako ya kunyimwa boom, jipange upya apo tunekushtukia.
Hizi tetesi zinatokana na mfumo wetu wa serikali kutokuwa na uwazi. Mi nadhani malipo na marupurupu ya hii tume yangewekwa wazi.
Nakataa kuiminisha nafsi yangu kama kweli wanalipwa TZS 300,000 kwa siku. Haingii akilini hata kidogo. Kwanza hizo hela za kila siku wanalipwa kwa majukumu gani? Ina maana hawana mshahara wa mwezi?