Wakati wazee wetu wanapigania uhuru walilipwa sh ngapi kwa siku? Tuendelee tu kuigharamia SIASA halafu kila mtu anajidai kushangaa kwa nini bajeti ya maendeleo ni ndogo!Mimi nadhani ni sawa tu hasa ukichukulia kazi yao ni nzito sana na itakuwa ya kihistoria