Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,746
- 46,268
Mzee Mkandara, hayo si tu mawazo na mtazamo, hizo ni facts.
Chadema wameyakana hayo maneno ya Mtei. wameona kachemka vibaya.
Mzee Mkandara, hayo si tu mawazo na mtazamo, hizo ni facts.
Kachemka nini kwani sio kweli, ujumbe umeshafika kwa mlengwa haya mengine ni ziada tu.Chadema wameyakana hayo maneno ya Mtei. wameona kachemka vibaya.
Kama hakuna uwiano wa sawa sawa na Muungano uvunjike.
Kachemka nini kwani sio kweli, ujumbe umeshafika kwa mlengwa haya mengine ni ziada tu.
Kachemka nini kwani sio kweli, ujumbe umeshafika kwa mlengwa haya mengine ni ziada tu.
Feedback,
Wewe kama mwana Chadema na unaungana na mzee Mtei basi ujumbe kweli umefika maana watu wanasema Chadema imejaa Wachagga na wakristu uongozi wa juu, kuna ukweli mkubwa ktk uundwaji wa uongozi ikiwa Mtei ndiye muasisi wa chama na ana fikra kama hizi au sio? Hivi kweli Chadema itaweza kukijenga chama Zanzibar kwa fikra kama hizi?
Mkuu control Ur temper, Mzee Mtei uzee nao unamsumbuwa, ila ametumia haki yake ya kutoa maoni kama Mtanzania kama utakumbuka Kanisa Katoliki limekuja kuikana kauli ya Askofu Kilaini mwaka huu wakati ilishatuletea madhara Watanzania, kitu muhimu na cha msingi CHADEMA kama chama kimetoa tamko lake, nadhani hilo ndilo muhimu na kwa kila mtu mwenye akili timamu anajuwa kwamba CHADEMA imedhamiria kitu gani.Feedback,
Wewe kama mwana Chadema na unaungana na mzee Mtei basi ujumbe kweli umefika maana watu wanasema Chadema imejaa Wachagga na wakristu uongozi wa juu, kuna ukweli mkubwa ktk uundwaji wa uongozi ikiwa Mtei ndiye muasisi wa chama na ana fikra kama hizi au sio? Hivi kweli Chadema itaweza kukijenga chama Zanzibar kwa fikra kama hizi?
Binafsi mmuunga mkono Mtei kwa alivyosema, ni ukweli ulio wazi kuwa 1. Zanzibar yenye watu 1.5m iwakilishwe sawa na bara yenye watu zaidi ya 40mil. 2. Tume ina waislamu 23 na wakristo 11 na huo ni ukweli kila mtu anaona.Feedback,
Wewe kama mwana Chadema na unaungana na mzee Mtei basi ujumbe kweli umefika maana watu wanasema Chadema imejaa Wachagga na wakristu uongozi wa juu, kuna ukweli mkubwa ktk uundwaji wa uongozi ikiwa Mtei ndiye muasisi wa chama na ana fikra kama hizi au sio? Hivi kweli Chadema itaweza kukijenga chama Zanzibar kwa fikra kama hizi?
Binafsi mmuunga mkono Mtei kwa alivyosema, ni ukweli ulio wazi kuwa 1. Zanzibar yenye watu 1.5m iwakilishwe sawa na bara yenye watu zaidi ya 40mil. 2. Tume ina waislamu 23 na wakristo 11 na huo ni ukweli kila mtu anaona.
Tatizo watu wanasema kwanini kasema wazi, mimi ndio nawashangaa wanaosema kwa nini kasema, walitaka anyamaze kuendeleza woga, eti akisema atakiharibia chama si kweli, alichoangalia yeye Mtei si chama bali mstakabali wa nchi ndio maana chama kimetoa tamko lake. Kwa kitendo hiki vile vile kinaonyesha kumbe ndani ya CDM kuna uhuru wa kutoa maoni na kwa upande mwingine chama hakiongopi kupingana na mwasisi wake. Hivi ni vitu vipya vya kujifunza ndio maana watu mnashangaa havipo ndani ya CCM.
Mwisho alikuwa anafikisha ujumbe.
Mkuu wangu lazima utazame na kupima vitu kwanza kabla ya kukubaliana na mawazo ya mzee Mtei. Hili ni Taifa linalopiga vita Ukabila, Udini, na kuvunja Muungano wetu sasa wewe nambie ktk mawazo yake hayo yeye alitaka iwe vipi?..Mbona Chadema hatuna uuwiano sawa na hayo anayoyadai? Je, ukweli huo unaukubali na mnafanya nini kuuondoa maana nakuona siku zote unampiga vita Zitto na watu wanasema kwa sababu yeye ni Muislaam, Je nao wanasema kweli kama unavyouona hapa?Binafsi mmuunga mkono Mtei kwa alivyosema, ni ukweli ulio wazi kuwa 1. Zanzibar yenye watu 1.5m iwakilishwe sawa na bara yenye watu zaidi ya 40mil. 2. Tume ina waislamu 23 na wakristo 11 na huo ni ukweli kila mtu anaona.
Tatizo watu wanasema kwanini kasema wazi, mimi ndio nawashangaa wanaosema kwa nini kasema, walitaka anyamaze kuendeleza woga, eti akisema atakiharibia chama si kweli, alichoangalia yeye Mtei si chama bali mstakabali wa nchi ndio maana chama kimetoa tamko lake. Kwa kitendo hiki vile vile kinaonyesha kumbe ndani ya CDM kuna uhuru wa kutoa maoni na kwa upande mwingine chama hakiongopi kupingana na mwasisi wake. Hivi ni vitu vipya vya kujifunza ndio maana watu mnashangaa havipo ndani ya CCM.
Mwisho alikuwa anafikisha ujumbe.
Binafsi mmuunga mkono Mtei kwa alivyosema, ni ukweli ulio wazi kuwa 1. Zanzibar yenye watu 1.5m iwakilishwe sawa na bara yenye watu zaidi ya 40mil. 2. Tume ina waislamu 23 na wakristo 11 na huo ni ukweli kila mtu anaona.
Tatizo watu wanasema kwanini kasema wazi, mimi ndio nawashangaa wanaosema kwa nini kasema, walitaka anyamaze kuendeleza woga, eti akisema atakiharibia chama si kweli, alichoangalia yeye Mtei si chama bali mstakabali wa nchi ndio maana chama kimetoa tamko lake. Kwa kitendo hiki vile vile kinaonyesha kumbe ndani ya CDM kuna uhuru wa kutoa maoni na kwa upande mwingine chama hakiongopi kupingana na mwasisi wake. Hivi ni vitu vipya vya kujifunza ndio maana watu mnashangaa havipo ndani ya CCM.
Mwisho alikuwa anafikisha ujumbe.
Unaweza kuniambia tatizo la tamko la Mtei ni nini, labda tuanzie hapa, nitakujibu.Mkuu wewe ng'anga'na na kwani sio kweli kuridhisha nafsi yako................
Lakini wenye akili zao ndani ya chama wameona hii ni mbaya kwa afya ya chama na ndio maana mbio wamekuja kumruka futi mia.
Umewahi kusikia CDM wanatoa tamko kumnawa memba yeyote kiongozi wa CDM humu JF? wameandika mangapi? why Mtei?
Sumbua kichwa hata kidogo na utoke nje ya box
Take your time and go through bandiko la Myika, utajua wanamaanisha nini.......
Na kwa taarifa yako usifikiri Mnyika alikurupuka kutoa bandiko lile, NOPE.........Jopo la uongozi lilitafakari kabla ya kuja na hilo tamko
Sina temper isipokuwa napoona watu wanamshabikia Mzee Mtei badala ya kumkosoa..Yale ya kanisa katoliki hayahusiani na kanisa, Askofu kilaini amezungumzia swala nje ya kanisa hivyo ni mawazo yake lakini kama angesema Ushoga ni halali basi athari yake ingekuwa kubwa zaidi ya maneno yale. Mtewi ni kiongozi muasiosi wa Chadema hakutakiwa kabisa kuyasema aloyasema hata kama anafikiria kulitakiwa kuwepo uuwiano kwa sababu fikra hizi ndizo tunazozipiga vita Chadema mpya. Tulichukua Chadema iliyokuwa na malengo ya upinzani na CCM tukaibadilisha na kuwa chama kinachotaka kutawala na ndio tukaingia Zanzibar na mikoani na hata kumsimamisha mgombea Urais. Huyu Mzee kachemsha na haitakiwi kabisa kumuunga mkono kwa lolote kuhusiana na makala yake.Mkuu control Ur temper, Mzee Mtei uzee nao unamsumbuwa, ila ametumia haki yake ya kutoa maoni kama Mtanzania kama utakumbuka Kanisa Katoliki limekuja kuikana kauli ya Askofu Kilaini mwaka huu wakati ilishatuletea madhara Watanzania, kitu muhimu na cha msingi CHADEMA kama chama kimetoa tamko lake, nadhani hilo ndilo muhimu na kwa kila mtu mwenye akili timamu anajuwa kwamba CHADEMA imedhamiria kitu gani.
Achana na mambo ya Zitto that is different story, tujadili tamko la Mtei na impact yake.Mkuu wangu lazima utazame na kupima vitu kwanza kabla ya kukubaliana na mawazo ya mzee Mtei. Hili ni Taifa linalopiga vita Ukabila Udini na kuvunja Muungano wetu sasa wewe nambie ktk mawazo yake hayo yeye alitaka iwe vipi..Mbona Chadema hatuna uuwiano sawa na hayo anayoyadai? Je, ukweli huo unaukubali na mnafanya nini kuuondoa maana nakuona siku zote unampiga viota Zitto na watu wanasema kwa sababu ni yeye ni Muislaam je nao wanasema kweli kama unavyouona hapa?
Wengi kina nani ikiwa Chama chako kimetoa tamko lake rasmi?..wewe na nani mmeliona hilo..Na hujanijibu wengi wanaosema Chadema ni chama cha Kaskazini na wakristu kuna ukweli maana namba zinajieleza wazi vile vile! halafu Mtei amekuja thibitisha fikra na mtazamo wake kuna ushahidi zaidi ya huu? eeeh mkuu wangu bado huoni athari ya makala ya Mtei ati ni ukweli mbona ktk tume hiyo hakuna Mkerewe hata mmoja nami niseme nini?Achana na mambo ya Zitto that is different story, tujadili tamko la Mtei na impact yake.
Mtei alitaka kufikisha ujumbe kuwa hicho kitu tumekiona na usifikiri yuko peke yake ni wengi wameona lakini wanaogopa kuwa labled na udini kama mnavyon lable sasa na usishangae baadae ukija kuona hoja yake inapata msukumo.
Mkuu achana na utetezi huu wa Mzee Mtei, hizi ni Idara za kina Mtikila angejikalia kimya huyu Mzee nina uhakika Mtikila angekuja na same statement.Achana na mambo ya Zitto that is different story, tujadili tamko la Mtei na impact yake.
Mtei alitaka kufikisha ujumbe kuwa hicho kitu tumekiona na usifikiri yuko peke yake ni wengi wameona lakini wanaogopa kuwa labled na udini kama mnavyon lable sasa na usishangae baadae ukija kuona hoja yake inapata msukumo.
Naona una lengo lako nafikiri endelea kujadili nitakusoma, good bye.Wengi kina nani ikiwa Chama chako kimetoa tamko lake rasmi?..wewe na nani mmeliona hilo..Na hujanijibu wengi wanaosema Chadema ni chama cha Kaskazini na wakristu kuna ukweli maana namba zinajieleza wazi vile vile! halafu Mtei amekuja thibitisha fikra na mtazamo wake kuna ushahidi zaidi ya huu? eeeh mkuu wangu bado huoni athari ya makala ya Mtei ati ni ukweli?
Mkuu mimi nadhani ungefuata ushauri huu apa chini ingekuwa vyema zaidi, vinginevyo unaonekana kitukoUnaweza kuniambia tatizo la tamko la Mtei ni nini, labda tuanzie hapa, nitakujibu.
Mkuu achana na utetezi huu wa Mzee Mtei, hizi ni Idara za kina Mtikila angejikalia kimya huyu Mzee nina uhakika Mtikila angekuja na same statement.
Pls thread za kuchangia ziko nyingi unaweza kuipotezea tu, aje mwenyewe Mzee Mtei kujibu hoja siyo anaanzisha hoja halafu yeye anakaa shambani kwake kunywa mbege, Wazee wanaposhindwa kuzisoma alama za nyakati wanapaswa kunyooshewa vidole, mambo ya wakristo wangapi na waislamu wangapi waachiwe kina Sheikh Bahsaleh na Kakobe na Mtikila aliyesema Kikwete anataka kuwasilimisha Watanzania.