Tumaini TV(TVT) ni Mali ya CCM?

Kwenye Kanisa Katoliki kuna taasisi za aina 3
1. Religious, hizi ni huduma za kidini, kiroho na kiimani, kama ibada ya misa, sacrament, maombezi, na huduma zote za kiimani, ubatizo, komunio, kitubio, kipaimara, ndoa, mpako wa mwisho, upadirisho, mazishishi, huduma hizi ni bure.

2. Charity, hizi ni huduma za kusaidia jamii kwa Kanisa kujitolea sehemu na jamii kuchangia sehemu ya gharama!, huduma hizi ni kama afya kwenye mahospitali ya mission na elimu kwenye mashule na vyuo vya kanisa ambazo gharama hizo ni not for profit, sio kuzalisha faida.
3. Uzalishaji mali na kufanya biashara, kanisa Katoliki pia lina huduma za uzalishaji mali na kufanya biashara, hizi ni business as usual kama Cathedra Bookshops, kukodisha maeneo, kama Msimbazi centre au pale Magomeni, mahoteli, hostels, viwanda, etc, ni biashara kama biashara nyingine.

Tumaini Media, does both, inatoa huduma za uinjilishaji bure, huduma hizi zinagharimiwa na michango ya waumini, kama Marafiki wa Tumaini Media, hivyo vipindi vyote vya dini ni bure, news pia ni bure. Ila pia Tumaini Media inafanya biashara kwa kupokea vipindi vya nje vinavyolipiwa, kampuni yangu ya PPR inapeleka vipindi na tunalipa vinarushwa kibiashara, japo bei zap ni bei poa.
P
Asante lakini hapo kwenye Sakramenti si muumini analipia mfano wakati wa kuandikisha mafundisho si huwa kuna malipo muumini analipia kabla ya kuanza mbona unasema ni bure?
 
Asante lakini hapo kwenye Sakramenti si muumini analipia mfano wakati wa kuandikisha mafundisho si huwa kuna malipo muumini analipia kabla ya kuanza mbona unasema ni bure?
Huduma zote za kiroho na kiimani, zinatolewa bure ila kwenye kujiandikisha hutakiwa kutoa michango, sio kulipia hiyo hiduma bali kuchangia uendeshaji.

Hata CCM, fomu ya kugombea ubunge sasa ni TZS 1,000,000, ila wakati wa kulipia, hiyo fomu inatolewa bure, halafu ile risiti yako inakuwa imeandikwa mchango wa hiari wa kuimarisha chama!.
Hata sadaka ni hiari, mavuno ni hiari, mchango pekee ambao ni wa lazima ni zaka kamili.
P
 
Utambulisho wa uanachama kwa chama cha siasa ni kadi ya uanachama; unao ushahidi kuwa Pengo anayo kadi ya uanachama wa ccm?

Isijekuwa una chuki naye kwa yeye kuwa na mtazamo tofauti na wa kwako.
Swali lako ni zuri lakini ni swali rahisi sana
 
Huduma zote za kiroho na kiimani, zinatolewa bure ila kwenye kujiandikisha hutakiwa kutoa michango, sio kulipia hiyo hiduma bali kuchangia uendeshaji.

Hata CCM, fomu ya kugombea ubunge sasa ni TZS 1,000,000, ila wakati wa kulipia, hiyo fomu inatolewa bure, halafu ile risiti yako inakuwa imeandikwa mchango wa hiari wa kuimarisha chama!.
Hata sadaka ni hiari, mavuno ni hiari, mchango pekee ambao ni wa lazima ni zaka kamili.
P
Hapa kimsingi ni lugha laini tu lakini ukweli unakuwa umelipia huduma huo mfano uliotoa ni gharama ya fomu bila kutoa kiasi hicho nina imani hautapewa fomu hata huku kanisani bila kulipia ile gharama itakuwa ngumu kupewa huduma.
 
Channel hii inadaiwa kuwa ni ya Kanisa Katoliki, lakini hakuna habari nyingine za kisiasa inazoonyesha zaidi ya habari za CCM tu, tena wako radhi waonyeshe habari za kijinga za CCM na kuacha habari za maana za vyama vingine.

Ndio maana nimejitokeza kuuliza kwamba TV hii ni mali ya CCM, mbona haionyeshi habari za vyama vingine? Japo tunafahamu kwamba Polycap Pengo ni mwanaccm lakini kwani Pengo ndio mmiliki wa TV Tumaini?

Je Taratibu za TCRA zinaruhusu TV ya Kanisa kuegemea chama kimoja?

Itaendelea .......
Siasa na dini hivi vitu viwili vinaichanganya sana jamii
 
Hapa kimsingi ni lugha laini tu lakini ukweli unakuwa umelipia huduma huo mfano uliotoa ni gharama ya fomu bila kutoa kiasi hicho nina imani hautapewa fomu hata huku kanisani bila kulipia ile gharama itakuwa ngumu kupewa huduma.
Huduma za kiroho zote ni bure, ila pia muumini unatakiwa kuchangia uendeshaji wa kanisa, kama unavyolipia kodi.
P
 
Wakati tukisubiri muendelezo wako, naomba kujitambulisha kwako kuwa mimi ni miongoni mwa watangazaji waanzilishi wa Tumaini media ile 1994, Tumaini media ni independent, inapokea habari na matangazo toka popote as long as sio contents itakayo kwenda kinyume cha imani ya Ukatoliki. Kwa kukusaidia ni kuwa CCM wanalipia, hata makanisa mengine pia wanalipia, njooni tuu mlipie contents zenu mrushwe!. CCM inamiliki Uhuru/Mzalendo, Radio Uhuru, Channel Ten, Magic FM na Classic FM.
Sijui kwanini vyama vingine vinashindwa kuwa na media yake?!, niliwahi kuwa na matumaini na hawa jamaa zangu, Elections 2015 - Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio!
Kumbe hii ilikuwa ni ndoto tuu ya mchana!.
P
Habari zinazosomwa kwenye Taarifa za Habari za TV mbali mbali huwa zinalipiwa ? Kwa mfano TBC inapotangaza kwamba Urusi imevurumisha Makombora Ukraine inakuwa imelipwa na nani ?

Kwenye Taarifa yako ya Habari unapotoa zile habari kwamba Zitto amekamatwa Tunduru au Kihongosi anewatandika bakora walimu huko Arusha unakuwa unalipwa ?

Ni vema kuelewa hoja badala ya kukurupuka na Propaganda za kichovu , ama labda ulitaka tu tujue ulikuwemo kwenye kuanzisha TV Tumaini .
 
Huduma za kiroho zote ni bure, ila pia muumini unatakiwa kuchangia uendeshaji wa kanisa, kama unavyolipia kodi.
P
Samahani kwa maswali ni katika kukuza uelewa tu je muumini asipochangia gharama za uendeshaji wa Kanisa, Kanisa likigoma kumpa huduma ni makosa ?
 
Sasa kabla ya kukurupuka ulitakiwa uelewe tunaposema hili tunalenga nini ? Kwenye Taarifa ya Habari ya Hiyo TV huwezi kukuta Habari za Chama kingine zaidi ya CCM , tena ni habari za kijinga sana
We dogo, kwanza uwe na adabu na heshima kwa wakubwa zako, mimi nimehudumu media kwa miaka zaidi ya 30, kuniambia nimekurupuka ni kama kunitukana!.

Pili naendelea kusisitiza habari ni bure dunia nzima, ili chombo cha habari kiitangaze habari yako kuna mambo 3 lazima yafanyike
1. Uwe na habari kweli ambayo kweli ni habari.
2. Media ialikwe kuchukua hiyo habari na media kuwa facilitated kuiripoti hiyo habari
3. Kuwepo kwa nafasi ya kuitangaza hiyo habari.
Hivyo unavyoona hizo habari za CCM ujue
Kwanza ni habari kweli, pili media imealikwa na kuwa facilitated na tatu nafasi imepatikana.

Kama una tukio lako, waalike media, facilitate them, mtatangazwa kama news za CCM!.
P
 
We dogo, kwanza uwe na adabu na heshima kwa wakubwa zako, mimi nimehudumu media kwa miaka zaidi ya 30, kuniambia nimekurupuka ni kama kunitukana!.

Pili naendelea kusisitiza habari ni bure dunia nzima, ili chombo cha habari kiitangaze habari yako kuna mambo 3 lazima yafanyike
1. Uwe na habari kweli ambayo kweli ni habari.
2. Media ialikwe kuchukua hiyo habari na media kuwa facilitated kuiripoti hiyo habari
3. Kuwepo kwa nafasi ya kuitangaza hiyo habari.
Hivyo unavyoona hizo habari za CCM ujue
Kwanza ni habari kweli, pili media imealikwa na kuwa facilitated na tatu nafasi imepatikana.

Kama una tukio lako, waalike media, facilitate them, mtatangazwa kama news za CCM!.
P
Umejitahidi kuandika vizuri , ila kuna kijiswali kidogo , heshima unayoitaka ndio ile ya kuamkiwa shikamoo ?
 
Channel hii inadaiwa kuwa ni ya Kanisa Katoliki, lakini hakuna habari nyingine za kisiasa inazoonyesha zaidi ya habari za CCM tu, tena wako radhi waonyeshe habari za kijinga za CCM na kuacha habari za maana za vyama vingine.

Ndio maana nimejitokeza kuuliza kwamba TV hii ni mali ya CCM, mbona haionyeshi habari za vyama vingine? Japo tunafahamu kwamba Polycap Pengo ni mwanaccm lakini kwani Pengo ndio mmiliki wa TV Tumaini?

Je Taratibu za TCRA zinaruhusu TV ya Kanisa kuegemea chama kimoja?

Itaendelea .......
Kwani Kuna habari gani ya maana ya chadema haikutangazwa? Hiyo habari ilitangazwa na TV gani?
 
No news ni bure dunia nzima!.
P
Who Paid thr piper choses the tunes..

Habari ni bure wakat zishanunuliwa...
News is the scam all over rhe world..
Ni kwel CDm nao wawe na vyombo vyao vitakavyorusha habar na propaganda zao... .. duniani kote kama ulivosema news ni biashara
 
Samahani kwa maswali ni katika kukuza uelewa tu je muumini asipochangia gharama za uendeshaji wa Kanisa, Kanisa likigoma kumpa huduma ni makosa ?
Ni makosa makubwa kwa kanisa kumpa muumini huduma za kiroho kwa sababu zozote, Mungu alituumba bure, akatubariki bure, na kumuomba Mungu ni bure, makanisa wanapaswa kutoa huduma za kiroho bure.
NB. Makanisa yanaendeshwa na binadamu, kuna mambo ya kibinadamu, hawa waendeshaji wanayachomekea ambayo sio ya Kimungu!. Kuna watoto wanakataliwa kubatizwa, ndoa kukataliwa kufungwa na kukataliwa kupewa huduma za mazishi, ni makosa makubwa ya kibinaadamu tuu.
P
 
Back
Top Bottom