Tumaini TV(TVT) ni Mali ya CCM?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,377
217,438
Channel hii inadaiwa kuwa ni ya Kanisa Katoliki, lakini hakuna habari nyingine za kisiasa inazoonyesha zaidi ya habari za CCM tu, tena wako radhi waonyeshe habari za kijinga za CCM na kuacha habari za maana za vyama vingine.

Ndio maana nimejitokeza kuuliza kwamba TV hii ni mali ya CCM, mbona haionyeshi habari za vyama vingine? Japo tunafahamu kwamba Polycap Pengo ni mwanaccm lakini kwani Pengo ndio mmiliki wa TV Tumaini?

Je Taratibu za TCRA zinaruhusu TV ya Kanisa kuegemea chama kimoja?

Itaendelea .......
 
Channel hii inadaiwa kuwa ni ya Kanisa Katoliki, lakini hakuna habari nyingine za kisiasa inazoonyesha zaidi ya habari za CCM tu, tena wako radhi waonyeshe habari za kijinga za CCM na kuacha habari za maana za vyama vingine.

Ndio maana nimejitokeza kuuliza kwamba TV hii ni mali ya CCM, mbona haionyeshi habari za vyama vingine? Japo tunafahamu kwamba Polycap Pengo ni mwanaccm lakini kwani Pengo ndio mmiliki wa TV Tumaini?

Je Taratibu za TCRA zinaruhusu TV ya Kanisa kuegemea chama kimoja?

Itaendelea .......
Radio Wapo ilizindua kampeni za CCM ikishirikiana na Polepole.
 
Channel hii inadaiwa kuwa ni ya Kanisa Katoliki, lakini hakuna habari nyingine za kisiasa inazoonyesha zaidi ya habari za CCM tu, tena wako radhi waonyeshe habari za kijinga za CCM na kuacha habari za maana za vyama vingine.

Ndio maana nimejitokeza kuuliza kwamba TV hii ni mali ya CCM, mbona haionyeshi habari za vyama vingine? Japo tunafahamu kwamba Polycap Pengo ni mwanaccm lakini kwani Pengo ndio mmiliki wa TV Tumaini?

Je Taratibu za TCRA zinaruhusu TV ya Kanisa kuegemea chama kimoja?

Itaendelea .......
Tatizo vyama vingine havina habari zenye content za maana.
 
Hizo television stations zipo kibiashara, haijalishi iwe ya kanisa au mtu binafsi, kama hao CCM wamelipia airtime ya kile kinachooneshwa kwao sioni ubaya wowote, muhimu na nyie pelekeni ya kwenu, yakikataliwa ndio uje hapa kulalamika.
 
Japo tunafahamu kwamba Polycap Pengo ni mwanaccm lakini kwani Pengo ndio mmiliki wa TV Tumaini?
Utambulisho wa uanachama kwa chama cha siasa ni kadi ya uanachama; unao ushahidi kuwa Pengo anayo kadi ya uanachama wa ccm?

Isijekuwa una chuki naye kwa yeye kuwa na mtazamo tofauti na wa kwako.
 
Channel hii inadaiwa kuwa ni ya Kanisa Katoliki, lakini hakuna habari nyingine za kisiasa inazoonyesha zaidi ya habari za CCM tu, tena wako radhi waonyeshe habari za kijinga za CCM na kuacha habari za maana za vyama vingine.

Ndio maana nimejitokeza kuuliza kwamba TV hii ni mali ya CCM, mbona haionyeshi habari za vyama vingine? Japo tunafahamu kwamba Polycap Pengo ni mwanaccm lakini kwani Pengo ndio mmiliki wa TV Tumaini?

Je Taratibu za TCRA zinaruhusu TV ya Kanisa kuegemea chama kimoja?

Itaendelea .......
Kuna hope channel Tanzania siasa mwiko krb saaana
 
Itaendelea .......
Wakati tukisubiri muendelezo wako, naomba kujitambulisha kwako kuwa mimi ni miongoni mwa watangazaji waanzilishi wa Tumaini media ile 1994, Tumaini media ni independent, inapokea habari na matangazo toka popote as long as sio contents itakayo kwenda kinyume cha imani ya Ukatoliki. Kwa kukusaidia ni kuwa CCM wanalipia, hata makanisa mengine pia wanalipia, njooni tuu mlipie contents zenu mrushwe!. CCM inamiliki Uhuru/Mzalendo, Radio Uhuru, Channel Ten, Magic FM na Classic FM.
Sijui kwanini vyama vingine vinashindwa kuwa na media yake?!, niliwahi kuwa na matumaini na hawa jamaa zangu, Elections 2015 - Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio!
Kumbe hii ilikuwa ni ndoto tuu ya mchana!.
P
 
Wakati tukisubiri muendelezo wako, naomba kujitambulisha kwako kuwa mimi ni miongoni mwa watangazaji waanzilishi wa Tumaini media ile 1994, Tumaini media ni independent, inapokea habari na matangazo toka popote as long as sio contents itakayo kwenda kinyume cha imani ya Ukatoliki. Kwa kukusaidia ni kuwa CCM wanalipia, hata makanisa mengine pia wanalipia, njooni tuu mlipie contents zenu mrushwe!. CCM inamiliki Uhuru/Mzalendo, Radio Uhuru, Channel Ten, Magic FM na Classic FM.
Sijui kwanini vyama vingine vinashindwa kuwa na media yake?!, niliwahi kuwa na matumaini na hawa jamaa zangu, Elections 2015 - Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio!
Kumbe hii ilikuwa ni ndoto tuu ya mchana!.
P
Pascal Mayalla kama inapokea matangazo ya kibiashara mbona sasa huwa inasemwa ni Tv za kanisa ambazo sio ya kibiashara?
 
Channel hii inadaiwa kuwa ni ya Kanisa Katoliki, lakini hakuna habari nyingine za kisiasa inazoonyesha zaidi ya habari za CCM tu, tena wako radhi waonyeshe habari za kijinga za CCM na kuacha habari za maana za vyama vingine.

Ndio maana nimejitokeza kuuliza kwamba TV hii ni mali ya CCM, mbona haionyeshi habari za vyama vingine? Japo tunafahamu kwamba Polycap Pengo ni mwanaccm lakini kwani Pengo ndio mmiliki wa TV Tumaini?

Je Taratibu za TCRA zinaruhusu TV ya Kanisa kuegemea chama kimoja?

Itaendelea .......
Kitma, Katibu wa TEKI huwa analazimisha wakatoliki wawe chadema
 
Ndio maana nimejitokeza kuuliza kwamba TV hii ni mali ya CCM, mbona haionyeshi habari za vyama vingine? Japo tunafahamu kwamba Polycap Pengo ni mwanaccm lakini kwani Pengo ndio mmiliki wa TV Tumaini?
Mie ni mkatoliki wa Jimbo kuu la DSM, nilikuwa mchangiaji mzuri wa TV hii.
Lakini baada ya kuona ujingaujinga huu nimeacha kabisa kuichangia!
 
Pascal Mayalla kama inapokea matangazo ya kibiashara mbona sasa huwa inasemwa ni Tv za kanisa ambazo sio ya kibiashara?
Kwenye Kanisa Katoliki kuna taasisi za aina 3
1. Religious, hizi ni huduma za kidini, kiroho na kiimani, kama ibada ya misa, sacrament, maombezi, na huduma zote za kiimani, ubatizo, komunio, kitubio, kipaimara, ndoa, mpako wa mwisho, upadirisho, mazishishi, huduma hizi ni bure.

2. Charity, hizi ni huduma za kusaidia jamii kwa Kanisa kujitolea sehemu na jamii kuchangia sehemu ya gharama!, huduma hizi ni kama afya kwenye mahospitali ya mission na elimu kwenye mashule na vyuo vya kanisa ambazo gharama hizo ni not for profit, sio kuzalisha faida.
3. Uzalishaji mali na kufanya biashara, kanisa Katoliki pia lina huduma za uzalishaji mali na kufanya biashara, hizi ni business as usual kama Cathedra Bookshops, kukodisha maeneo, kama Msimbazi centre au pale Magomeni, mahoteli, hostels, viwanda, etc, ni biashara kama biashara nyingine.

Tumaini Media, does both, inatoa huduma za uinjilishaji bure, huduma hizi zinagharimiwa na michango ya waumini, kama Marafiki wa Tumaini Media, hivyo vipindi vyote vya dini ni bure, news pia ni bure. Ila pia Tumaini Media inafanya biashara kwa kupokea vipindi vya nje vinavyolipiwa, kampuni yangu ya PPR inapeleka vipindi na tunalipa vinarushwa kibiashara, japo bei zap ni bei poa.
P
 
Back
Top Bottom