Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,513
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu, kisemacho mwanaume kugombania rimoti ya TV ni ushamba.
Naandika huku nacheka hapa, kisa kulikuwa hivi, kama mjuavyo siku za sikukuu watu hujumuika na familia.
Kilichonichosha ni kwamba kuna mwamba mmoja alikuja kwa familia yetu, kama mjuavyo familia zinakuwa pamoja.
Ajabu ni kuwa mwamba alikuwa kazi yake ni kuangalia TV yaani muda wote ni TV tuu.
Sasa mwamba akishakaa kwa kochi na kibukta chake, hatoki anabadili channel moja kwenda nyingine.
Kimbembe ni kuwa anagombana hadi na watoto kwa kugombania rimoti ya TV, yaani anawakatiza kuangalia vikatuni vyao.
Mwamba mwenyewe ni baba wa watoto yaani hana habari kabisa, watoto wanalia wala yeye amekazana na TV.
Mi nijuavyo wanawake ndio wanakuwa na mambo ya kuangalia TV muda wote pamoja na watoto.
Husika na kichwa cha habari hapo juu, kisemacho mwanaume kugombania rimoti ya TV ni ushamba.
Naandika huku nacheka hapa, kisa kulikuwa hivi, kama mjuavyo siku za sikukuu watu hujumuika na familia.
Kilichonichosha ni kwamba kuna mwamba mmoja alikuja kwa familia yetu, kama mjuavyo familia zinakuwa pamoja.
Ajabu ni kuwa mwamba alikuwa kazi yake ni kuangalia TV yaani muda wote ni TV tuu.
Sasa mwamba akishakaa kwa kochi na kibukta chake, hatoki anabadili channel moja kwenda nyingine.
Kimbembe ni kuwa anagombana hadi na watoto kwa kugombania rimoti ya TV, yaani anawakatiza kuangalia vikatuni vyao.
Mwamba mwenyewe ni baba wa watoto yaani hana habari kabisa, watoto wanalia wala yeye amekazana na TV.
Mi nijuavyo wanawake ndio wanakuwa na mambo ya kuangalia TV muda wote pamoja na watoto.