Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
Leo nimegundua kwa nini NSSF wako bega wa bega na CCM, wanajua ili waendelee kufaidi huu mfumo fisadi ni lazima waibebe ccm inayolinda na kuhamasisha ufisadi. Kuna kipindi nchi ilizongwa na mgogoro wa umeme wakaandamana na Ngeleja kudai watafunga mtambo wa kuzalisha umeme wa dharura kumbe ni ghilba kwa watanzania wasizidi kuichukia ccm. Kiama chao chaja 2015