mataga pori walidhani wao watapewa unafuu kumbe wembe ni ule-ule.
Pambaf kabisa.
Kwani wakiomsifia Mama kama anaupiga mwingi walikuwa wanani? Kila akiejitokeza kusema jambo tofauti na Mama akiitwa Sukuma Gang! Sasa hakuna cha Sukuma Gang wala nini wote wanaanza kumkataa.Kwa jinsi walivyo mbumbumbu hawatasema chochote.Watabaki kugugumia kwa maumivu tu. Acha waisome namba,walidhani wao ni "wateule" kumbe vijakazi tu!
mama anawanyosha sukuma gnag sisi wengine tulishazoea maisha magumuKwani wakiomsifia Mama kama anaupiga mwingi walikuwa wanani? Kila akiejitokeza kusema jambo tofauti na Mama akiitwa Sukuma Gang! Sasa hakuna cha Sukuma Gang wala nini wote wanaanza kumkataa.
Hata ikipatikana katiba mpya jukumu la nchi kuendelea ni lazima litaenda sambamba na makusanyo ya kodi.Ni mtu mjinga tu anayedhani MAENDELEO hupatikana kirahisi na kwa kupita NJIA ZA MKATO ?!!!!
MAENDELEO binafsi yanapatikana kwa kufunga mkanda......
MAENDELEO ya nchi hupatikana kwa wananchi kuifunga mikanda.....
Dr.Mwigulu yuko sahihi....
Bunge liko sahihi.....
Acha dawa iwaingie kabisa
waliwaona akina
John Heche
G Lema
P msigwa
Pendo Pendeza
JJ Mnyika
kuwa hawana akili acha waipate fresh kabisa tena na bado iongezwe zaidi na zaidi in Kigogo's Voice wakija kushtuka kwisha habari kabisa
mnahamisha tu magori na kudharauliwa
wapinzani kutetea jambo sio lazima wawe bungeni, maana CCM wengi kule
wapinzania ndio mashabiki wa mama samia, mara mnawarudishia mpira mataga???
unatafuta comfort wakati na wewe unaumia tu
mwandiko wako tu unaonyesha wewe maskini wa kutupwa na unazira kuwa mpinzani!!!!!
acha
Sisi tulishazoea maisha magumu. Wale wanaoanza watateseka sanaMlisema afadhali ya huyu kumbe ndo ule wimbo usemao mmeipend wenyew na mvimbe mpasuke wembe ni ule ule kaz iendeleeee....
Wacha kulalamika lipa tozo hukoUpinzani ni another hand of foreign hand !!...Mnachotaka n kuchukua nchi kuendelea kuwalisha mabwana zenu wazungu !! Viva magu
Waongeze kabiaa wajinga watapata akili hawa.Tena nashauri uko mbele waweke kodi ya kulala na wake au waume zao, uenda bongo zao zitatoka makalioni na kurudi kichwani.
Yanataka eti wapinzani tuwatetee. Hii kila mtu ashinde mechi zake😅😅Wajinga wa nchi hii wasipoelewa hili, hawatoelewa milele
Hahaa mpaka watanzia wapenda ccm somo liingie ndio ukombozi utakujaEti tufunge mkanda,wenyewe wamejazana kula posho na mishahara bila kodi na bado wanadai walipwe kwa dola halafu wanakwambia ''tufunge mkanda"
Majizi kabisa hawa jamaa