Ni miaka mingi sana wapinzani tumekuwa tukipigania maslahi ya taifa kwa udi na uvumba. Kwa miaka yote tumekuwa na matokeo chanya ikiwemo kuzipinga bajeti nyonyaji kwa wananchi. Ilifika mahali bajeti pendekezwa za Mbadala kutoka kambi ya upinzani Bungeni zinachanwachanwa kwenye makamera ili kutudhalilisha. Huku vitendo hivyo vya aibu vikiungwa mkono na wanaccm na wafuasi wa mfumo nyonyaji, wanufaika wa uasi
Haikuishia hapo. kupiga kelele kwetu ili kupata mifumo sawia itakayoleta viongozi waadilifu ktk chaguzi za viongozi wa umma ukanza kuingia shubiri. Tukawa tunawindwa kama dubu. Kwa riasi na mabomu. Hatimaye wakafanikiwa kwa mbwembwe kutuengua kwenye level zote za utawala kuanzia serikali za mitaa, madiwani wa kata na wahunge majimboni. Kazi hii ilifanikiwa kwa ufanisi mkubwa ulioungwa mkono na wasaliti wa taifa hili.
Baada ya hapo matokeo yake tumepata Serikali ya CCM pure. Wamewageuka manyumbu yao.
Kwa hili wapinzani tuko clean. Hatuna Doa. Sisi tozo tutalipa.
Wafuatao nadhani hawamo kwenye orodha ya kulipa tozo na makodi kodi
1. UVCCM
2. Umoja wa wanawake ccm
3. Baraza la wazee ccm
4. Wanaccm wote
5. Polisi wote waliokuwa wakizuia haki kutendeka
5. Mahakama na waandamizi wote waliochangia dhulma
6. Watumishi wote wa tume ya uchaguzi
7. Mataga woote.
Msilielie wala msitulilie. Tuliwaonya. Kazi iendelee tulipe kodi na tozo tujenge nchi.
Mama anaupiga mwingi sana😅😅😅
Haikuishia hapo. kupiga kelele kwetu ili kupata mifumo sawia itakayoleta viongozi waadilifu ktk chaguzi za viongozi wa umma ukanza kuingia shubiri. Tukawa tunawindwa kama dubu. Kwa riasi na mabomu. Hatimaye wakafanikiwa kwa mbwembwe kutuengua kwenye level zote za utawala kuanzia serikali za mitaa, madiwani wa kata na wahunge majimboni. Kazi hii ilifanikiwa kwa ufanisi mkubwa ulioungwa mkono na wasaliti wa taifa hili.
Baada ya hapo matokeo yake tumepata Serikali ya CCM pure. Wamewageuka manyumbu yao.
Kwa hili wapinzani tuko clean. Hatuna Doa. Sisi tozo tutalipa.
Wafuatao nadhani hawamo kwenye orodha ya kulipa tozo na makodi kodi
1. UVCCM
2. Umoja wa wanawake ccm
3. Baraza la wazee ccm
4. Wanaccm wote
5. Polisi wote waliokuwa wakizuia haki kutendeka
5. Mahakama na waandamizi wote waliochangia dhulma
6. Watumishi wote wa tume ya uchaguzi
7. Mataga woote.
Msilielie wala msitulilie. Tuliwaonya. Kazi iendelee tulipe kodi na tozo tujenge nchi.
Mama anaupiga mwingi sana😅😅😅