Hi wanabodi!!!!!!!!!
Ndugu zangu wapinzani mkiongozwa na Chadema someni alama za nyakati kwani hii ni awamu ya kuchapa kazi na sio kufanya siasa. Chadema badilikeni muungeni mkono Rais kwa mazuri mengi anayoifanyia nchii ambayo ninyi wapinzani kwa miaka mingi mlikuwa mkiyapigia kelele na mkosoeni kistaarabu kwa machache anayokosea kwani nae Sio Mungu bali ni Binadamu hivyo hakosi mapungufu.
Kuendelea na kupambana na Rais Magufuli kunawashushia hadhi zenu kama wapinzani katika Jamii kwani Watanzania wanaonakazi nzuri zinazofanywa na Rais wao mpendwa.
Leo hii ukimuuliza Mtanzania Yeyote unaonaje Uongozi wa awamu ya tano Chini ya Rais Magufuli atakujibu kama ifuatavyo nchii hii imepata Rais mchapa kazi acha atunyooshe tu kwani watanzania tulikuwa tumelala na kuzembea huyu jamaa acha aturudishe kwenye mstari. Pamoja na changamoto za hapa na pale Watanzania wanakiri ubabe wa Rais unahitajika katika kuingoza nchi hii katika uchumi wa kati.
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anaweza kubeza juhudi za Mh Rais Magufuli hivyo ndugu zangu Chadema na wapinzani wote hamjachelewa njooni tujumuike tumuunge mkono Rais katika kujenga Tanzania Mpya. Rais sio Mungu mkosoe kistaarabu na kwa adabu kama unavyomkosoa Baba na Mama yako.
Tanzania ni yetu sote kwa afya ya vyama vyenu njooni pamoja tumuunge mkono Rais kwa kufanya kazi kwa maendeleo ya nchi yetu na siasa tutafanya 2020.
Kupinga kila kitu ni sio siasa bali ujinga tu
Tufanye kazi siasa mpaka 2020
Ndugu zangu wapinzani mkiongozwa na Chadema someni alama za nyakati kwani hii ni awamu ya kuchapa kazi na sio kufanya siasa. Chadema badilikeni muungeni mkono Rais kwa mazuri mengi anayoifanyia nchii ambayo ninyi wapinzani kwa miaka mingi mlikuwa mkiyapigia kelele na mkosoeni kistaarabu kwa machache anayokosea kwani nae Sio Mungu bali ni Binadamu hivyo hakosi mapungufu.
Kuendelea na kupambana na Rais Magufuli kunawashushia hadhi zenu kama wapinzani katika Jamii kwani Watanzania wanaonakazi nzuri zinazofanywa na Rais wao mpendwa.
Leo hii ukimuuliza Mtanzania Yeyote unaonaje Uongozi wa awamu ya tano Chini ya Rais Magufuli atakujibu kama ifuatavyo nchii hii imepata Rais mchapa kazi acha atunyooshe tu kwani watanzania tulikuwa tumelala na kuzembea huyu jamaa acha aturudishe kwenye mstari. Pamoja na changamoto za hapa na pale Watanzania wanakiri ubabe wa Rais unahitajika katika kuingoza nchi hii katika uchumi wa kati.
Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anaweza kubeza juhudi za Mh Rais Magufuli hivyo ndugu zangu Chadema na wapinzani wote hamjachelewa njooni tujumuike tumuunge mkono Rais katika kujenga Tanzania Mpya. Rais sio Mungu mkosoe kistaarabu na kwa adabu kama unavyomkosoa Baba na Mama yako.
Tanzania ni yetu sote kwa afya ya vyama vyenu njooni pamoja tumuunge mkono Rais kwa kufanya kazi kwa maendeleo ya nchi yetu na siasa tutafanya 2020.
Kupinga kila kitu ni sio siasa bali ujinga tu
Tufanye kazi siasa mpaka 2020