Wapinzani mithiri ya Lissu kuwakabidhi Utawala wa Nchi hii ni kuibomoa misingi iliojengwa kwa gharama kubwa na waasisi kwa mikono yetu wenyewe

troiker

JF-Expert Member
Aug 18, 2019
1,551
2,574
Nchi yetu ni ya mfumo wa vyama vingi kisheria, hivyo vyama hivi vipo kisheria, na vyama hivi wakati wa chaguzi hushindanisha sera kwa wananchi,na wananchi husikiliza sera zinazonadiwa kisha kukipa ridhaa chama ambacho sera zake zimewavutia wananchi , hicho chama kikishinda huunda Serikali.

Nikiangalia aina ya wapinzani nchi hii, wapo ambao ukiwaangalia ni makini Sana , hawana papara na wana maono na fikra ambazo serikali huzibeba na kuzifanyia kazi, mfano, Zitto Kabwe, Maalim Seif, Mbatia , Lipumba ,lakini sio Tundu Lissu huyu hafai hata kidogo,kama alweza kumdhihaki hata Baba wa taifa ambaye ni marehemu asie weza jitetea ,je akikamata madaraka ya mwisho kabisa atafanya nini?.

Mpaka sasa sijaona mgombea mwenye sifa za kukabiliana na Magufuli katika kulinda,raslimali, heshima na wadhifa wa taifa hili
 
Ni Tundu Lissu!
FB_IMG_1596551643127.jpg
 
Mpaka sasa sijaona mgombea mwenye sifa za kukabiliana na Magufuli katika kulinda,raslimali, heshima na wadhifa wa taifa hili
Kabla huyo mtu wako hajaingia kwenye ulindaji wa rasilimali, ukijisumbua kidogo tu utajua kuwa TL alikuwa huko-hakulinda rasilimali tu bali alitetea na haki za wananchi wa maeneo hayo yenye rasilimali hadi Mkapa akamuweka ndani. Heshima ya nchi inakuja kutokana na utawala bora na katika hilo JPM hafui dafu kwa TL. Endelea tu kuweweseka, tutaelewana muda ukifika.
 
Nchi yetu ni ya mfumo wa vyama vingi kisheria, hivyo vyama hivi vipo kisheria, na vyama hivi wakati wa chaguzi hushindanisha sera kwa wananchi,na wananchi husikiliza sera zinazonadiwa kisha kukipa ridhaa chama ambacho sera zake zimewavutia wananchi , hicho chama kikishinda huunda Serikali.

Nikiangalia aina ya wapinzani nchi hii, wapo ambao ukiwaangalia ni makini Sana , hawana papara na wana maono na fikra ambazo serikali huzibeba na kuzifanyia kazi, mfano, Zitto Kabwe, Maalim Seif, Mbatia , Lipumba ,lakini sio Tundu Lissu huyu hafai hata kidogo,kama alweza kumdhihaki hata Baba wa taifa ambaye ni marehemu asie weza jitetea ,je akikamata madaraka ya mwisho kabisa atafanya nini?.

Mpaka sasa sijaona mgombea mwenye sifa za kukabiliana na Magufuli katika kulinda,raslimali, heshima na wadhifa wa taifa hili
Ujinga mtupu

Lipumba na maalimu wamegombea mihula mingapi?,mbona hawakupewa nchi?
Hukumbuki 2015 kilichotokea zenji
 
Nchi yetu ni ya mfumo wa vyama vingi kisheria, hivyo vyama hivi vipo kisheria, na vyama hivi wakati wa chaguzi hushindanisha sera kwa wananchi,na wananchi husikiliza sera zinazonadiwa kisha kukipa ridhaa chama ambacho sera zake zimewavutia wananchi , hicho chama kikishinda huunda Serikali.

Nikiangalia aina ya wapinzani nchi hii, wapo ambao ukiwaangalia ni makini Sana , hawana papara na wana maono na fikra ambazo serikali huzibeba na kuzifanyia kazi, mfano, Zitto Kabwe, Maalim Seif, Mbatia , Lipumba ,lakini sio Tundu Lissu huyu hafai hata kidogo,kama alweza kumdhihaki hata Baba wa taifa ambaye ni marehemu asie weza jitetea ,je akikamata madaraka ya mwisho kabisa atafanya nini?.

Mpaka sasa sijaona mgombea mwenye sifa za kukabiliana na Magufuli katika kulinda,raslimali, heshima na wadhifa wa taifa hili

Ni kweli hakuna mpinzani anayeweza kushindana na mzee wa jogoo hoyee.
 
Ni misingi ipi hiyo iliyopo katika hatari ya kubomolewa iwapo upinzani ukikabidhiwa utawala wa nchi?
Fly over na barabara kutumika kwa ajili ya maandamano badala ya shughuli za kiuchumi.
Kuruhusu mifarakano badala ya umoja wa nchi rejea kauli yake kuhusu Znz , vs tanganyika je Tanganyika muungano wake tuliuridhia kama sio wakoloni kusema hapa ni Tanganyika, hapa Rwanda n.k
 
Ujinga mtupu

Lipumba na maalimu wamegombea mihula mingapi?,mbona hawakupewa nchi?
Hukumbuki 2015 kilichotokea zenji
Muwe mnasoma na kuelewa ,sio kukurupuka kujibu kitu usichoelewa
Nimesema kuna baadhi ya wapinzani ni watulivu ,hawana mihemuko ,wana maono na fikra ambazo serikali huzifanyia kazi

Rudia kusoma tena kwa utulivu
 
Nchi yetu ni ya mfumo wa vyama vingi kisheria, hivyo vyama hivi vipo kisheria, na vyama hivi wakati wa chaguzi hushindanisha sera kwa wananchi,na wananchi husikiliza sera zinazonadiwa kisha kukipa ridhaa chama ambacho sera zake zimewavutia wananchi , hicho chama kikishinda huunda Serikali.

Nikiangalia aina ya wapinzani nchi hii, wapo ambao ukiwaangalia ni makini Sana , hawana papara na wana maono na fikra ambazo serikali huzibeba na kuzifanyia kazi, mfano, Zitto Kabwe, Maalim Seif, Mbatia , Lipumba ,lakini sio Tundu Lissu huyu hafai hata kidogo,kama alweza kumdhihaki hata Baba wa taifa ambaye ni marehemu asie weza jitetea ,je akikamata madaraka ya mwisho kabisa atafanya nini?.

Mpaka sasa sijaona mgombea mwenye sifa za kukabiliana na Magufuli katika kulinda,raslimali, heshima na wadhifa wa taifa hili
Makonda ndo anafaa kuwa rais.
 
Nchi yetu ni ya mfumo wa vyama vingi kisheria, hivyo vyama hivi vipo kisheria, na vyama hivi wakati wa chaguzi hushindanisha sera kwa wananchi,na wananchi husikiliza sera zinazonadiwa kisha kukipa ridhaa chama ambacho sera zake zimewavutia wananchi , hicho chama kikishinda huunda Serikali.

Nikiangalia aina ya wapinzani nchi hii, wapo ambao ukiwaangalia ni makini Sana , hawana papara na wana maono na fikra ambazo serikali huzibeba na kuzifanyia kazi, mfano, Zitto Kabwe, Maalim Seif, Mbatia , Lipumba ,lakini sio Tundu Lissu huyu hafai hata kidogo,kama alweza kumdhihaki hata Baba wa taifa ambaye ni marehemu asie weza jitetea ,je akikamata madaraka ya mwisho kabisa atafanya nini?.

Mpaka sasa sijaona mgombea mwenye sifa za kukabiliana na Magufuli katika kulinda,raslimali, heshima na wadhifa wa taifa hili
Tunahitaji utawala wa kisheria tuishi kwa amani na furaha bila kuogopa wasiojulikana 'to leave in peace and tranquility'
 
Muwe mnasoma na kuelewa ,sio kukurupuka kujibu kitu usichoelewa
Nimesema kuna baadhi ya wapinzani ni watulivu ,hawana mihemuko ,wana maono na fikra ambazo serikali huzifanyia kazi

Rudia kusoma tena kwa utulivu
Hiyo ni njia ya kujifariji Tu,sasa kama wanamaono mbona wanapingwa vikali na hiyo serikali yako ya ccm
Nabado wananyanyaswa na kunyang'anga ushindi
 
Back
Top Bottom