mwanamanzi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 271
- 353
Nilisoma nikitokea kazini na umri mkubwa nikatoka na GPA ya 3.6.
Kiutumishi haikunisaidia chochote ila kitaaluma imenipa fursa kubwa sana
Kiutumishi haikunisaidia chochote ila kitaaluma imenipa fursa kubwa sana