Architect E.M
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,240
- 1,478
- Thread starter
- #141
Hongera sana kakaNilifanikiwa kupata GPA ya 4.2 kwenye degree ya elimu. Kilichonisaidia hasa kupata ufaulu huo kiukweli ni jumla ya mambo mengi ukizingitia kila mwalimu alikuwa na philosophy yake ya namna ya kufundisha na kutunga maswali, ilinipasa kuwa flexible ili kuweza kuwa na ufaulu nzuri kwa almost kila course.