Tulipopata GPA za upper second class and above tukutane hapa

Tulipopata GPA za upper second class and above tukutane hapa

Architect E.M

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
1,240
Reaction score
1,478
Heshima yenu wakuu..

Tuliopata GPA za 3.5 na kuendelea tukutane hapa kubadilishana mawazo positively. Je GPA kubwa imekusaidia baada ya maisha ya chuoni na kwenye kutafuta riziki? Ni zipi fursa ulizozipata na zilizokufaidisha kutokana na GPA yako kubwa?

Binafsi nilipata GPA ya 4.1 from the school of Architecture - Ardhi University. Lakini GPA haijawahi kunisaidia lolote kwenye fursa za utafutaji, maana mimi ni mjasiriamali tu.

Karibuni wadau.
 
Kwa shule yangu ya chuo ilivyokuwa ngumu, hii nilionayo nimejipendelea sana. Sikustahili.

GPA yangu ndogo inanipa limit za fursa zinazohitaji GPA kubwa.

Je ninyi wenye GPA kubwa hali ikoje huko kileleni?
Hakuna mpya. Ajira unaisotea kuipata na utakuja kuipata na yule aliyepata gentleman GPA. Vingenevyo labda kama una ndoto za kuwa mwalimu wa vyuo vikuu.
 
Back
Top Bottom