Tulipopata GPA za upper second class and above tukutane hapa

Tulipopata GPA za upper second class and above tukutane hapa

Computer engineering udsm nlimaliza na 2.9
Nimerudi kusoma undergraduate upya, niko statistics.. First smester nilikua na 4.7
Siwezi kikupongeza kwa hio statistics hio ni bachelor of art. Nimesema waliopata 4+(distinction).
kiujumla upo ktk average IQ level aytound 100 kwenye ulimwengu wa akili. Kiujumla huwezi Innovate kitu kwa IQ hio bora ulivyohama hama fani, hata mimi nipo average IQ.
Ila umetumia mda na pesa vibaya kama hujilipii ada maana yake utapata deni la milioni zaidi ya 30 kwa kozi hizo mbili.
Je hakuna post graduate ya statics mpaka ukaamua urudie digrii ?
Hio fani haina ajira au haukuwa competent, kwa nini ulichukua maamuzi magumu kama hayo?
Kuna mkufunzi mmoja alitufundisha kuwa msijiendeleze kielimu horizontally but vertically.
 
Computer engineering udsm nlimaliza na 2.9
Nimerudi kusoma undergraduate upya, niko statistics.. First smester nilikua na 4.7
Umepata 4.7 kwa sababu unajua kila kitu kuhusu test, course nk sio kwamna IQ yako ni kubwa sana. Wenzio wanapiga hio wakiwa fresh from school sio repeaters. Wewe hapo Kwenye computer engineering umepiga baadhi ya kozi za hesabu. Uongozi, DS,CS na nyinginezo . ZImeisha kupeka hatua mbele zaidi kuliko wenzio.
 
Nimezaliwa niwe
Siwezi kikupongeza kwa hio statistics hio ni bachelor of art. Nimesema waliopata 4+(distinction).
kiujumla upo ktk average IQ level aytound 100 kwenye ulimwengu wa akili. Kiujumla huwezi Innovate kitu kwa IQ hio bora ulivyohama hama fani, hata mimi nipo average IQ.
Ila umetumia mda na pesa vibaya kama hujilipii ada maana yake utapata deni la milioni zaidi ya 30 kwa kozi hizo mbili.
Je hakuna post graduate ya statics mpaka ukaamua urudie digrii ?
Hio fani haina ajira au haukuwa competent, kwa nini ulichukua maamuzi magumu kama hayo?
Kuna mkufunzi mmoja alitufundisha kuwa msijiendeleze kielimu horizontally but vertically.
L
Siwezi kikupongeza kwa hio statistics hio ni bachelor of art. Nimesema waliopata 4+(distinction).
kiujumla upo ktk average IQ level aytound 100 kwenye ulimwengu wa akili. Kiujumla huwezi Innovate kitu kwa IQ hio bora ulivyohama hama fani, hata mimi nipo average IQ.
Ila umetumia mda na pesa vibaya kama hujilipii ada maana yake utapata deni la milioni zaidi ya 30 kwa kozi hizo mbili.
Je hakuna post graduate ya statics mpaka ukaamua urudie digrii ?
Hio fani haina ajira au haukuwa competent, kwa nini ulichukua maamuzi magumu kama hayo?
Kuna mkufunzi mmoja alitufundisha kuwa msijiendeleze kielimu horizontally but vertically.
Mpaka niwe lekchalaa
 
Ni kweli kaka
Mimi ni failure, nimeumia sana B ya DS ndo imenifanya nipate 4.7... Nitajitahidi second semester nipate 5.0
Umepata 4.7 kwa sababu unajua kila kitu kuhusu test, course nk sio kwamna IQ yako ni kubwa sana. Wenzio wanapiga hio wakiwa fresh from school sio repeaters. Wewe hapo Kwenye computer engineering umepiga baadhi ya kozi za hesabu. Uongozi, DS,CS na nyinginezo . ZImeisha kupeka hatua mbele zaidi kuliko wenzio.
 
Heshima yenu wakuu..

Tuliopata GPA za 3.5 na kuendelea tukutane hapa kubadilishana mawazo positively. Je GPA kubwa imekusaidia baada ya maisha ya chuoni na kwenye kutafuta riziki? Ni zipi fursa ulizozipata na zilizokufaidisha kutokana na GPA yako kubwa?

Binafsi nilipata GPA ya 4.1 from the school of Architecture - Ardhi University. Lakini GPA haijawahi kunisaidia lolote kwenye fursa za utafutaji, maana mimi ni mjasiriamali tu.

Karibuni wadau.
Do you think ungekuwa huna GPA hiyo au shule hiyo, ungekuwa hivyo ulivyo?
 
Back
Top Bottom