Tulipopata GPA za upper second class and above tukutane hapa

Tulipopata GPA za upper second class and above tukutane hapa

Sina hakika sana, ila jamaa huwa ameajiriwa na kampuni kubwa international ya Audit and Consultancy, KPMG. Wana salary na posho nene. Walimpa ofa toka siku ya graduation
Daaah unanitamanisha sana niendeleze moto ila asante mkuuu kwa maoni yako Mungu

Akubariki acha nisugue pindi siwezi jua fungu au riziki yangu ipo wapi

💪💪💪💪
 
Mimi nilihakikisha tu nikitaka kuendelea kusoma kusiwe na kikwazo cha GPA sikuwahi kuona kama GPA ina msaada sehemu nyingine zaidi ya kwenye maswala ya kitaaluma tu.

Na nilikuwa nawaambiaga wananangu GPA sio dili wakawa wanaona mi miyeyusho sahivi wananielewa nilichokuwa nawaambia. GPA kubwa ni za maana kwa wataaluma tu.
 
Back
Top Bottom