Tulipopata GPA za upper second class and above tukutane hapa

Tulipopata GPA za upper second class and above tukutane hapa

Mm sina ajira mzee baba ..! Nasubiri niolewe tu nipate kusitirika...! Hahaha joly club enzi hizo na club bils! Na sitamani ajira
Ila dada yangu leo nimejikuta nacheka sana kukuta huu uzi wa wenye GPA kali wakutane. Ukiukwepa huu uzi wa GPA unakutana na ule wa ONE... yaani moto kotekote. Yaani ni full kubaguana. Ila fresh inachangamsha... mimi kwenye ofisi yangu kuna dogo aliyemaliza la saba kwa mbinde huwa yuko vizuri kwenye majukumu yake hadi marafiki zangu huwa wanampa kazi za part time. Na kuna rafiki yangu yuko tayari amwachishe kijana mwenye degree kazi ampe huyo dogo.
 
Ila dada yangu leo nimejikuta nacheka sana kukuta huu uzi wa wenye GPA kali wakutane. Ukiukwepa huu uzi wa GPA unakutana na ule wa ONE... yaani moto kotekote. Yaani ni full kubaguana. Ila fresh inachangamsha... mimi kwenye ofisi yangu kuna dogo aliyemaliza la saba kwa mbinde huwa yuko vizuri kwenye majukumu yake hadi marafiki zangu huwa wanampa kazi za part time. Na kuna rafiki yangu yuko tayari amwachishe kijana mwenye degree kazi ampe huyo dogo.
Tunalo ss ambao hatukupasua!mradi pumzi tu!
 
Achana kbs na mademu wa cbe na ifm..watamu sana!ila alikudharau sana aise🤣! Hahahaaa...tafuta hela wewe!
Naona umeninyima kitengo mkuu 😎😎..
CV yangu ukisikia shavu nipe mwanaa..
  • Bacher of Eng in Electrical Engineering
  • Bacherol of science in informationTechnology
  • Ordinary Diploma in Mechanical Engineering
Masters : Status: Pending.. 😺😺.. Nifanyie mishe tu..

NB: zote GPA utopolo yaani jamani 👴👴👴

🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
 
kitengo cha ofisi nilichomo kuna gpa aina zote ila mishahara na vyeo tunalingana, mkuu wa kitengo ana lower second.

pia Kuna watu wenye waluosoma nje na gpa ni nzuri ila wanaripoti kwangu na kuna watu wana gpa za ajabu [emoji16] naripoti kwao ndio supervisors wangu.

huku makazini mpango mzima ni mishahara, posho, kuoandishwa vyeo, n.k hizo gpa tupa kule [emoji706][emoji706]
Utazikumbuka pale tu utakapohitaji kusoma postgraduate, ndo utakapojuwa kumbe GPA zina umuhimu wake
 
Naona umeninyima kitengo mkuu 😎😎..
CV yangu ukisikia shavu nipe mwanaa..
  • Bacher of Eng in Electrical Engineering
  • Bacherol of science in informationTechnology
  • Ordinary Diploma in Mechanical Engineering
Masters : Status: Pending.. 😺😺.. Nifanyie mishe tu..

NB: zote GPA utopolo yaani jamani 👴👴👴

🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Njoo tuandae mashamba nxt yr tulime sisal..toa upuuz wa kuajiriwa dogo
 
Heshima yenu wakuu.. tuliopata GPA za 3.5 na kuendelea tukutane hapa kubadilishana mawazo positively.. je GPA kubwa imekusaidia baada ya maisha ya chuoni na kwenye kutafuta riziki??? Ni zipi fursa ulizozipata na zilizokufaidisha kutokana na GPA yako kubwa?

Binafsi nilipata GPS ya 4.1 from the school of Architecture - Ardhi University. Lakini GPA haijawahi kunisaidia lolote kwenye fursa za utafutaji, maana mimi ni mjasiriamali tu.

Karibuni wadau.
Gpa haikusaidii kutafuta kaz, inakupa kujiamin kutafuta kazi.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Asilimia kubwa wanaponda gpa au shule kuwa hazina msaada kimaisha...Je watoto wenu wako shule au wako nyumbani???
 
Back
Top Bottom