Mtoto wa Nyerere
Senior Member
- May 21, 2021
- 128
- 690
Sijawahi kuona faida ya elimu zaidi ya kuwa wavivu na kukwepa baadhi ya kazi
Huku wenzetu wakipiga kila aina ya kazi na kupiga pesa ndefu..
Tunapoteza muda halafu tukirudi mtaani tunakuta mambo tofauti.
Binafsi nina vyeti vya kila aina one form4, form 6, 3.9 GPA udsm na
Masters of finance nje ya nchi but all in all sioni faida zaidi ya kupoteza muda tu maana maisha ni Yale Yale tu na wale waliomaliza darasa 7.
Huku wenzetu wakipiga kila aina ya kazi na kupiga pesa ndefu..
Tunapoteza muda halafu tukirudi mtaani tunakuta mambo tofauti.
Binafsi nina vyeti vya kila aina one form4, form 6, 3.9 GPA udsm na
Masters of finance nje ya nchi but all in all sioni faida zaidi ya kupoteza muda tu maana maisha ni Yale Yale tu na wale waliomaliza darasa 7.