Tulipopata GPA za upper second class and above tukutane hapa

Tulipopata GPA za upper second class and above tukutane hapa

Heshima yenu wakuu.. tuliopata GPA za 3.5 na kuendelea tukutane hapa kubadilishana mawazo positively.. je GPA kubwa imekusaidia baada ya maisha ya chuoni na kwenye kutafuta riziki??? Ni zipi fursa ulizozipata na zilizokufaidisha kutokana na GPA yako kubwa?

Binafsi nilipata GPS ya 4.1 from the school of Architecture - Ardhi University. Lakini GPA haijawahi kunisaidia lolote kwenye fursa za utafutaji, maana mimi ni mjasiriamali tu.

Karibuni wadau.
Wenye lower second tunacomment wapi,Au sis tuendelee na hustle kitaa ,Ila maisha hayana formula aisee
 
kitengo cha ofisi nilichomo kuna gpa aina zote ila mishahara na vyeo tunalingana, mkuu wa kitengo ana lower second.

Kuna watu wana gpa nzuri 4.3, 4.4, na yupo mwenye 4.6 (first class) ila wanaripoti kwangu

kuna watu wana gpa za ajabu ajabu kama pass (chini ya 2.7) 😁 naripoti kwao na ndio supervisors wangu.

huku makazini cheti kitatumika kukuingiza tu unapofanya usaili wa interview, baada ya hapo unajulikana kama mwajiriwa sio tena ulipata gpa ngapi.

watu wanapandishwa madaraja kwa kupata uzoefu baada ya miaka kadhaa, connections za kujuana na wanaopandisha vyeo, n.k GPA peleka darasani huku ni kazi tu 😂😂.
 
kha! No 3 tena jamani ? wengine madarasa yetu yalikuwa na watu 400, ukiwa hata wa hamsa unapeleka na report home kifua mbele.. ama kweli akutukanae hakuchagulii tusi 😫😫😫
Hahhahaa...mie nimeshikaga nafasu ya 3 niliugua pumu toka feb...may nikarudi shule nikashika namba3!
Mitihani ya mock nilikua napata 148 out of 150! Sijui nyie ss hv masomo yenu inakuwaje .ila sisi tulikua na masomo jumla ma3..kila somo 50mrks...walikua wanayeweka hivyo...secondary nilikua mzuri sana wa hesabu n the like ila bookkeeping naondoka na D! arghh sijui tu!
Nishazeeka hata sielewi tena nawaza tu hela mm hapa
 
Hahhahaa...mie nimeshikaga nafasu ya 3 niliugua pumu toka feb...may nikarudi shule nikashika namba3!
Mitihani ya mock nilikua napata 148 out of 150! Sijui nyie ss hv masomo yenu inakuwaje .ila sisi tulikua na masomo jumla ma3..kila somo 50mrks...walikua wanayeweka hivyo...secondary nilikua mzuri sana wa hesabu n the like ila bookkeeping naondoka na D! arghh sijui tu!
Nishazeeka hata sielewi tena nawaza tu hela mm hapa
Una akili sana mkuu.. from home to namba 3.. mie hata sijui yani sikumbuki ila nacho jua sijawahi shika hata nafasi ya 100.. chuo penyewe ndio nilikuwa naongoza kwa suplementary kila semester nilikuwa naondoka sup zangu nne hadi tano.. nikirudi sepeter conference na kitita cha sup 😣😣😣😣.. ila Mungu haya acha aitwe Mungu
 
Una akili sana mkuu.. from home to namba 3.. mie hata sijui yani sikumbuki ila nacho jua sijawahi shika hata nafasi ya 100.. chuo penyewe ndio nilikuwa naongoza kwa suplementary kila semester nilikuwa naondoka sup zangu nne hadi tano.. nikirudi sepeter conference na kitita cha sup 😣😣😣😣.. ila Mungu haya acha aitwe Mungu
Mradi wote tunapumua mkuu..na tun afya mengine haya mbwembwe tu...! Mie chuo sikua nakaa class kbs🤣🤣 full kuswampa kariakoo na posta..dah...those days
 
Back
Top Bottom