Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Achana kbs na mademu wa cbe na ifm..watamu sana!ila alikudharau sana aise🤣! Hahahaaa...tafuta hela wewe!Ila walikuwaga wachache sana, ilikuwa inatulazimu kuwaona wazuri tu hata mama wabaya, maana wa CBE na IFM walikuwa wanajiona sanaaaa... kuna mmoja wa CBE nilimtoaga out, nimenlewesha kinoma, akaja jamaa akamchukua alafu demu akajidai ananikataaa .. nikaondoka kwa uchungu sana.. next day demu ananiambia yule ni kaka yake 😂😂😂😂
,kila kitu wanauliza,hata cha kujiongeza tu utaulizwa,"flani hapa tunafanyaje,ikiwa hv inakuaje n.k na hapo tumeajiriwa mwaka mmoja