ukishajua wewe ni nyota yako punda, utakwenda kwa mganga kufanya nini?
Tarehe 32 mwezi wa 13 si ndio nyio mnaitwa UFO?
Hatuitegemei..lakini ina kitu ndani yake...
Hata mungu unamuamini lakini humjui na peponi au jehanam ni kusadikika
nimesema hatuyafuti but kuna siri behind.....Si kweli, huwezi kusema kuwa hatumjui Mungu, au kuwa ni wa kusadikika. Hebu tuache hayo, kimsingi haya masuala ya nyota ni ushirikina, ila kwa vile ni wa Mashariki ya Kati na Ulaya, unakuta hata wasomi wanayakumbatia, wasomi hao hao ambao hawataki kusikia kitu kuhusu ushirikina wa Kiafrika.
Leo nikipost humu kuwa nimerogwa, utaona mwitikio wa wasomi, watajifanya hawana habari na hayo mambo ingawa mambo ya astronomies za ki-Sheikh Yahya hazina tatizo kwao na wako positive nazo.
Haya yote ni mazao ya yule mwovu (kama unaiamini BIBLIA), na ni machukizo kwa Mungu hivyo hatutakiwi kuyakumbatia kwa afya yetu ya kiroho.
Sawasawa?