Tuliowahi kupewa hela na wanawake

Tuliowahi kupewa hela na wanawake

hiyo ndio ndoa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah yasije kukukuta haya.
IMG-20200516-WA0017.jpg
 
Kweli mkuu, amenipa pesa zake nyingi sana mpaka kuna kipindi alinitumia nauli kutoka Point A-E ili nikam****, na bado nikapewa na nauli ya kurudi + Matumizi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Napenda sana tuendeleze kizazi cha watu wenye huruma na wenzao na sio hiki cha sasa kilichojaa ubinafsi.
 
Wasalaam,

Hakuna kitu kigumu kama mwanamke kufungua pochi yake akupe hela yake, najua wengi tunalujua hilo.

Ili mwanamke akupatie hela yake fahamu kuwa ameona kitu ndani yako au ulimkosha haswaa kinyume na hapo utabaki kuwa mtoaji tu.

Mwanamke kukupa hela sio dhambi au haimanishi wewe ni marioo bali inaonyesha ulienaye anajali pia kama wewe unavyojali kwa kumpa pesa.

Ni Kwel kuwa wanaume we are obligated kutafuta fedha but sometimes the world doesn't revolve around us yan unapigika mpk unataka kutafuta pakutokea ila ukiwa na mpenzi si dhambi kumvutia waya na kumuomba.

Kwa kweli katika mahusiano yangu yote niliyowahi kupitia nilibahatika kukutana na wanawake ambao wanajali sana kiwango ambacho kukupa hela pale unapokuwa na shida kwao ilikuwa ni simple km kusukuma pazia.

Without shadow of doubt ili upate pesa ya mwanamke you don't have to sweat for it bali inabidi uishi nao kigentleman tena kindly(though hawatabiliki but men always ni drivers).

Vipi wenzangu nyie mlipataje/wezaje kupewa fedha na watoto/mtoto wa kike kiulaini.

Neno la leo: Habari za kupiga show za kinorth korea na kutumia mikongo, Alkasusu, viagra kvant haina mahusiano na kupata mpunga kutoka kwa watoto wazuri.
Yan wapewe help halafu watoe?
 
Mkuu kwani kuzama uvinza kuna shida gani mkuu? Sisi wenyeji wa mgodini tumeumia sanaa kwa kauli hii mkuu .

《Caprichar o teu sorriso》
Sio jambo zuri endapo sijawahi ila sioni kama lafaa.. nyie mtakuja kututengenezea magonjwa zaidi ya korona ni Jambo la muda tu acheni ukenge nyie..
 
Hao wengine..alafu mpenzi si mti wa pesa kwamba muda wote anakuwa nazo muda wote anipe tu..no..Kuna muda mnaishiwa na mnahitaji tafu kutoka kwa Wandani wenu (sisi)
Jidanganye rafiki.
Mwanaume anatakiwa awe na pesa siku zote awe na za akiba pia.
Ikitokea labda kaumwa, kapoteza kazi ajali n. K hapo hakuna jinsi kumboost.
Lakini mzima kama Extrovert kumpa back up no.
Aende kwa washkaji zake huko au saccoss akakope.
We jifanye mke mwema tu rafiki unampa back up hela yako anaenda lipia room anaenda na mwingine.

mama wawili
 
Kweli kaka hata mimi nilijua ananitania ila alitoa kwa moyo mmoja na sikuwahi muomba hiyo hela.nahisi alinionea huruma tu ninavyohangaika.huyu dada hata akinipigia simu saa tisa za usiku ana tatizo nitaamka na kumsaidia.ni wachache wa hivi mkuu
Hilo ndio lile linaitwa zali la mentali mkuu!
 
Back
Top Bottom