Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,120
- 190,521
Hahahah yasije kukukuta haya.
Hahahah yasije kukukuta haya.
Napenda sana tuendeleze kizazi cha watu wenye huruma na wenzao na sio hiki cha sasa kilichojaa ubinafsi.Kweli mkuu, amenipa pesa zake nyingi sana mpaka kuna kipindi alinitumia nauli kutoka Point A-E ili nikam****, na bado nikapewa na nauli ya kurudi + Matumizi.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hawana jeuri hiyoHahahah yasije kukukuta haya.View attachment 1452549


🤣🤣🤣🤣🤣🤣 we sema tu kuna alkasusu huko!
Duuh...mkuu uyo ulifka nae mbali sana,adi bi mkubwa alikuwa anamjua,...why ulimpiga chini?Nilishawa kupewa 500000 na mdada wa kizanzibar halafu nilivyo mjinga nikampiga chini, aliumia sana maana mpaka alifika mahala akawa anamtumia bimkubwa ili anibembeleze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah haya shaur yako 🤣🤣🤣
Mkuu kwani kuzama uvinza kuna shida gani mkuu? Sisi wenyeji wa mgodini tumeumia sanaa kwa kauli hii mkuuHe he! Nyinyi si mnawaramba uchi ndio maana..![]()

.Pole sana.Mkuu kwani kuzama uvinza kuna shida gani mkuu? Sisi wenyeji wa mgodini tumeumia sanaa kwa kauli hii mkuu.
《Caprichar o teu sorriso》
Natafuta address yk nkutumie hata hela ya sanitizer.Hao wengine..alafu mpenzi si mti wa pesa kwamba muda wote anakuwa nazo muda wote anipe tu..no..Kuna muda mnaishiwa na mnahitaji tafu kutoka kwa Wandani wenu (sisi)
🙏Natafuta address yk nkutumie hata hela ya sanitizer.
Too much sense.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo simaanishi awe mzaziWanawake wa aina hiyo ni wengi mno. Wakati ninasoma shule, mama alikuwa ananipa pesa za matumizi. Na kulipa bill za restaurant pia.
Kwahyo kanielewa ausiomwanamke akikuelewa ni rahisi sana kukupa pesa unapohitajia, ukiona hujawahi pewa pesa na mwanamke ujue hujawahi pendwa
Yan wapewe help halafu watoe?Wasalaam,
Hakuna kitu kigumu kama mwanamke kufungua pochi yake akupe hela yake, najua wengi tunalujua hilo.
Ili mwanamke akupatie hela yake fahamu kuwa ameona kitu ndani yako au ulimkosha haswaa kinyume na hapo utabaki kuwa mtoaji tu.
Mwanamke kukupa hela sio dhambi au haimanishi wewe ni marioo bali inaonyesha ulienaye anajali pia kama wewe unavyojali kwa kumpa pesa.
Ni Kwel kuwa wanaume we are obligated kutafuta fedha but sometimes the world doesn't revolve around us yan unapigika mpk unataka kutafuta pakutokea ila ukiwa na mpenzi si dhambi kumvutia waya na kumuomba.
Kwa kweli katika mahusiano yangu yote niliyowahi kupitia nilibahatika kukutana na wanawake ambao wanajali sana kiwango ambacho kukupa hela pale unapokuwa na shida kwao ilikuwa ni simple km kusukuma pazia.
Without shadow of doubt ili upate pesa ya mwanamke you don't have to sweat for it bali inabidi uishi nao kigentleman tena kindly(though hawatabiliki but men always ni drivers).
Vipi wenzangu nyie mlipataje/wezaje kupewa fedha na watoto/mtoto wa kike kiulaini.
Neno la leo: Habari za kupiga show za kinorth korea na kutumia mikongo, Alkasusu, viagra kvant haina mahusiano na kupata mpunga kutoka kwa watoto wazuri.
NakubaliNilivyokuwa mdogo, mama yangu alikuwa ananipa pesa ya matumizi shuleni.


Sio jambo zuri endapo sijawahi ila sioni kama lafaa.. nyie mtakuja kututengenezea magonjwa zaidi ya korona ni Jambo la muda tu acheni ukenge nyie..Mkuu kwani kuzama uvinza kuna shida gani mkuu? Sisi wenyeji wa mgodini tumeumia sanaa kwa kauli hii mkuu.
《Caprichar o teu sorriso》
Jidanganye rafiki.Hao wengine..alafu mpenzi si mti wa pesa kwamba muda wote anakuwa nazo muda wote anipe tu..no..Kuna muda mnaishiwa na mnahitaji tafu kutoka kwa Wandani wenu (sisi)
Hilo ndio lile linaitwa zali la mentali mkuu!