Tuliowahi kupewa hela na wanawake

Tuliowahi kupewa hela na wanawake

Mkipendana kwa dhati na kila mtu akamuelewa mwenzake basi hilo jambo linawezekana kabisa
Nimeipenda comment yako ndugu.

Kuna kipindi 2017 nilikuwa na mambo mengi sana hadi salary haikutosha, mara paah mwenye nyumba anadai kodi!!!! Alafu wakati anaulizia nilikuwa na gf wangu room!! Nikamwambia father house nitamlipa mwezi ujao kwakuwa mwezi huo nilikuwa na matumizi makubwa!

Kumbe wakati naongea na father house, gf wangu alisikia zile conversations, nilishangaa siku 3 tu akanipa 500,000/= nilipie geto!! Nilishangaa sana lakini pia sikuamini kama angekuwa na pesa au moyo wa kutoa hiyo pesa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeipenda comment yako ndugu.

Kuna kipindi 2017 nilikuwa na mambo mengi sana hadi salary haikutosha, mara paah mwenye nyumba anadai kodi!!!! Alafu wakati anaulizia nilikuwa na gf wangu room!! Nikamwambia father house nitamlipa mwezi ujao kwakuwa mwezi huo nilikuwa na matumizi makubwa!

Kumbe wakati naongea na father house, gf wangu alisikia zile conversations, nilishangaa siku 3 tu akanipa 500,000/= nilipie geto!! Nilishangaa sana lakini pia sikuamini kama angekuwa na pesa au moyo wa kutoa hiyo pesa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo alikua anakupenda kwa dhati na mapenzi ni matendo kama hayo.
Mimi hua sioni shida kumtoa jamaa akikwama maana zake nazila sana tena bila kumuomba so akikwama sana ananishirikisha then tunasaidiana maisha yanasonga nachompendea kesho yake akipata basi atarudisha tena na zaidi sometime.
 
Sio jambo zuri endapo sijawahi ila sioni kama lafaa.. nyie mtakuja kututengenezea magonjwa zaidi ya korona ni Jambo la muda tu acheni ukenge nyie..
Dah! Wacha tujitahidi ila mkuu yaani tusipopita huko hatuoni raha kabisa ya kucheza hiyo game halafu sidhani kama kuna madhara kama mkiwa wasafi , kwa sababu hakuna mwanachama hata mmoja aliyewahi kugundulika na ugonjwa wowote unaohusiana na kuzama uvinza .
Uvinza kuna raha yake mkuu
 
Dah! Wacha tujitahidi ila mkuu yaani tusipopita huko hatuoni raha kabisa ya kucheza hiyo game halafu sidhani kama kuna madhara kama mkiwa wasafi , kwa sababu hakuna mwanachama hata mmoja aliyewahi kugundulika na ugonjwa wowote unaohusiana na kuzama uvinza .
Uvinza kuna raha yake mkuu
Kenge nyengine hii hapa..
 
Naomba nitoke nje ya mada,

Hii tabia ya wanaume kuomba omba hela imetoka wapi.? Mbona inazidi kushamiri.?
Wanaume kazi ya kuomba omba pesa mtuachie tu siye, ninyi hampendezi walaqhi'..!!

Hao sio wanaume ni wavulana mamii, tena nahisi watakuwa watoto wa secondary au chuo!!
 
Huyo alikua anakupenda kwa dhati na mapenzi ni matendo kama hayo.
Mimi hua sioni shida kumtoa jamaa akikwama maana zake nazila sana tena bila kumuomba so akikwama sana ananishirikisha then tunasaidiana maisha yanasonga nachompendea kesho yake akipata basi atarudisha tena na zaidi sometime.
Very nice.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nnachojua mwanamke yeyote kama anacho anakupa tu hawanaga tabu lakini pesa zao ni zamoto balaa lazima zikupelekeshe na ole wako umzingue utazitapika
Ili ku
wa safe ni Bora utafute zako
 
Hamna wahongaji wazuri kama wanawake nazifaidi sana hela za mamiloo wangu hata siwaombi ni wenyewe tu wanashoboka
 
Huyo alikua anakupenda kwa dhati na mapenzi ni matendo kama hayo.
Mimi hua sioni shida kumtoa jamaa akikwama maana zake nazila sana tena bila kumuomba so akikwama sana ananishirikisha then tunasaidiana maisha yanasonga nachompendea kesho yake akipata basi atarudisha tena na zaidi sometime.

Kwahiyo huyo boyfriend wako unampa hela kwasabab yeye anakupa hela zake Lenie
 
Siku nikipokea hiyo bahati nafikiri ndo itakuwa dalili ya kuwa sitaenda motoni..

Sijui ninamkosi kutoka dunia ipi maana kusema hata ile mia kwamba mtoto wa kike anipe kwamba nikale hata pipi sijawahi..

Nimeamini Mungu na waungwana shetani na wahuni..
Haaa haaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa nampa hela ex wangu nilimsaidia sana alipokuwa na shida ila upuuzi alionifanyia inaumiza xana apa moyo umekufa ganzi aisee

time will tell
Utapona tu mama, it's just a matter of time
 
Wewe endelea tu kupokea hela za mwanamke acha hasira.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
No sina hasira, nilitaka tu kukumbushusha hilo. Hapa nilipo sina hata mwanamke, sasa hiyo hela sijui nitaipokeaje
 
Back
Top Bottom