Tuliowahi kupewa hela na wanawake

Tuliowahi kupewa hela na wanawake

Kwenye ujenzi nilipeleza kama 70k akanipa,na katika kuilipa sikuona haja ya kumpa cash,nilimnunulia samani za ndani za kama laki tano na nusu,hapo namlipia kodi namnunulia chakula kikiisha na hela ya matumizi mara moja moja,
Anajua kama nina mke,ila nafanya hayo yote kwa sababu nimezaa naye.
Cha ajabu mwaka jana Desemba tulizinguana akaidai ile elfu 70.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uuuuwiii, duuuu wanaume wamenipiga mizinga sana.

Acha wale mabebezi wa zamani waliokula hela yangu.

Alafu nyie, mnirudishie hela zangu, mnasikiaaaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi ni dakika chache nimetoka kupokea simu ya mwanamke wangu wa kiha sh 170000..simu imeita akasema njoo chukua hii hela uzungushe.

Huyu dada kunipa hela kwake nikutokana na nisimuache maana anajua mi nina demu mzuri kuliko yeye hivyo anatumia hyo mbinu ili nimuoe mbeleni

Sent using Jamii Forums mobile app
Wana wivu sana hao, halafu wanapenda swaga za kuchunguza simu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipokua naenda kuanza kazi yangu ya kwanza baada ya kumaliza chuo. Alinitumia dollar 500 western union ya kulipamba geto maana alikuwa hataki geto bovu bovu akija.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani ni mara ya kwanza naambiwa maneno makali kiasi hichi.!
Nisamehe Mimi bure Mr. Billions, sina tatizo nawe and this ain't even personal.!
I'm so sorry.!!
Don't feel offended and sorry from that creature because i met him from different forums,he's ill mannered and stupidest utopian and always look down on other people. F***k him!
 
Mwanamke mmj namtoabpesa aniache waapi,hela yenyewe maskin hana, akinipa Maneno kibao, hata hivyo mkakat wa kumuacha kwa kuomba umefeli, pesa alonayo haimtoshi bas balaa, lakn kosa Lang Ni kumnyonya uchi. Ukimnyonya chini kwisha,
 
Mwanafunzi wa advance alinipa 40k yake ya pocket money wakati niko first year wakati huo bumu limekata.

Na hiyo ndio pesa ndefu ambayo niliwahi kula kutoka kwa mwanamke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alishawai nipa zaidi ya PESA ,Ni binti fulani ivi muombaji kabla sjaanzaga ajira rasmi nlikuwaga na dili zangu nkimshirikisha aniombee dili zinatiki 100% kwa kasi ya 4g....daah me sio mkamilifu lakini huyu manzi itabidi tu nimuoe.
 
Nadhani ni mara ya kwanza naambiwa maneno makali kiasi hichi.!
Nisamehe Mimi bure Mr. Billions, sina tatizo nawe and this ain't even personal.!
I'm so sorry.!!
Jibu hili laonyesha wewe ni mstaarabu wa hali ya juu (japo sikujui) Ibarikiwe siku uliyozaliwa, Abarikiwe aliyekuoa (kama umeolewa) na kama hujaolewa MUNGU akujaalie upate mume wa kukufaa kwa shida na raha.
 
Kwenye ujenzi nilipeleza kama 70k akanipa,na katika kuilipa sikuona haja ya kumpa cash,nilimnunulia thamani za ndani za kama laki tano na nusu,hapo namlipia kodi namnunulia chakula kikiisha na hela ya matumizi mara moja moja,
Anajua kama nina mke,ila nafanya hayo yote kwa sababu nimezaa naye.
Cha ajabu mwaka jana Desemba tulizinguana akaidai ile elfu 70.

Sent using Jamii Forums mobile app
na ww dai samani za ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom