Wasalaam,
Hakuna kitu kigumu kama mwanamke kufungua pochi yake akupe hela yake, najua wengi tunalujua hilo.
Ili mwanamke akupatie hela yake fahamu kuwa ameona kitu ndani yako au ulimkosha haswaa kinyume na hapo utabaki kuwa mtoaji tu.
Mwanamke kukupa hela sio dhambi au haimanishi wewe ni marioo bali inaonyesha ulienaye anajali pia kama wewe unavyojali kwa kumpa pesa.
Ni Kwel kuwa wanaume we are obligated kutafuta fedha but sometimes the world doesn't revolve around us yan unapigika mpk unataka kutafuta pakutokea ila ukiwa na mpenzi si dhambi kumvutia waya na kumuomba.
Kwa kweli katika mahusiano yangu yote niliyowahi kupitia nilibahatika kukutana na wanawake ambao wanajali sana kiwango ambacho kukupa hela pale unapokuwa na shida kwao ilikuwa ni simple km kusukuma pazia.
Without shadow of doubt ili upate pesa ya mwanamke you don't have to sweat for it bali inabidi uishi nao kigentleman tena kindly(though hawatabiliki but men always ni drivers).
Vipi wenzangu nyie mlipataje/wezaje kupewa fedha na watoto/mtoto wa kike kiulaini.
Neno la leo: Habari za kupiga show za kinorth korea na kutumia mikongo, Alkasusu, viagra kvant haina mahusiano na kupata mpunga kutoka kwa watoto wazuri.
Sent using
Jamii Forums mobile app