Tuliowahi kupewa hela na wanawake

Tuliowahi kupewa hela na wanawake

nilipewa sana tena zaidi nikisema nina shida na kitu fulana nashangaa imesibitishwa.

Kuna muda mpaka nilikuwa napiga mkwara kuwa usinitumiep pesa yoyote acha nikae na matatizo yangu lakini nashangaa kitu kimesoma.

NB: Bado nipo naye, sasa ni zamu yangu naampa kila anataka coz nina kazi sasa, kipindi kile nilikuwa sina kazi.

Sent from my iPhone using JamiiForums
Hayo ndio mapenzi ya kweli sasa, hongera sana umepata demu mwenye roho ya kizungu. Wanawake wengi ni wabinafsi by nature wana mkono wa kupokea tu ila akikupa hata buku atakusimanga kishenzi ila kunao wale wazungu wa roho mtu anakupa hata M ila hakuwazi.

Huyo mwanamke usije kumuacha, ni wa shida na raha huyo hakika.
 
Hilo ndio lile linaitwa zali la mentali mkuu!
Nakumbuka wakati naanza mahusiano na huyu niliyenaye nilikuwa bado sina ajira. uzuri nilikuwa na kabiashara kangu ka tigo pesa nashanga siku anakuja kwenye kiofisi changu akaniambia anatoa pesa nikampa code ya wakala yangu akatoa 700000.

Ile namwesabia nimpe akasema amenipa niongezea mtaji daaah sikuamini na sikuwahi muomba kabisa.

Thanks God ile hela ilikuwa na bahati mtaji ulikuwa na biashara ikatanuka.kuna wanawake wanaletwa kwenye maisha yetu kama ngazi ya mafanikio.hawa ni wakiwaheshimu na kuwajali.
 
Mapenzi ya Sekondari kuna mdada alikua ananiewa mno, sema mi nilkua na hofu mno kuwa na Manzi shuleni. niko form four yeye form 3. ikifika mida ya break mimi Sina kitu mfukoni anakuja ananitoka mkwanja navungaa ila badae naupokea, ikawa kawaida yake. Siku moja nikapita mitaa flan nimeenda kuwapa hai washakaji Aisee wakanionesha kwao, nilichoka Manzi kwao maisha ya kawaida sana kuliko hata mimi. Tangu siku ile nkajiapiza kutochukua pesa yake tena. alikua akileta pesa namkwepa, nliona kama namkatili. Mpaka kesho analalamika et nlikua simjali hisia zake.

Popote ulipo C, Mungu akuweke ulinipenda kapuku, sema sikupenda nkuumize hisia zako.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke akimpa tu mwanaume hela yake, kila akimuona huyo mwanaume na huko chini panakuwa pakavu kuliko jangwa la sahara Kasie

Basi mie niko tofauti, kama tulikubaliana nimkopeshe na atarudisha na hajarudisha hapo kweli patakauka na kwanza ntampotezea na kuvunja ukaribu.

Ila kama nilimpa kwa ridhaa yangu na ni rafiki yangu, nikionana nae hata sizungumzii hela niliyompa, nazungumzia habari nyingine zinazotuhusu. Pesa makaratasi siku zote huwa najali utu, nimelelewa hivyo.

Pesa ikiwekwa mbele inaharibu mambo mengi sana ya uhalisia.

Mara nyingi nikifahamiana na mtu huwa najali yeye kama yeye huka zake alivyo na tabia kuliko anamiliki nini, atanipa nini au ntampa nini. Ofcourse other factors remain constant.

Kasinde.
 
Nahitaji pesa mpenzi hata ya pipi tu darling.. nipo hapa naisubiri sauti yako itete kwa ombi la kunikubalia my sweet love..

Aahahahahaa mtima wa Kasinde umesema, uhitaji wako ni pipi, basi pesa hupati ila ntaagiza DHL wakuletee parcel yenye mazagazaga ya chocolate na pipi za kila namna kwa uzito wa kg. 1.

Angalizo; ukimaliza kula utamu huo upige mswaki kulinda meno yako yashishambuliwe na bakteria.

Kasinde Matata.
 
Aahahahahaa mtima wa Kasinde umesema, uhitaji wako ni pipi, basi pesa hupati ila ntaagiza DHL wakuletee parcel yenye mazagazaga ya chocolate na pipi za kila namna kwa uzito wa kg. 1.

Angalizo; ukimaliza kula utamu huo upige mswaki kulinda meno yako yashishambuliwe na bakteria.

Kasinde Matata.
Bado itakuwa historia yangu ya kupewa hela na kimwana itakuwa bado haijavunjwa!
Mi naomba hela pipi silagi pipi zangu Ni matunda mpenzi kasie au umenisahau..?

Hujui nakula matunda ili nidumishe afya ya mwili,akili na Lile shipa la mapenzi😜😉
Au unataka niwe mapengo Kama wewe..?
Usiwe hivyo kimwana mwaga midolali hata Kama upo mbali,nitumie kihalali nile na kachumbali bila kusahau na pilipili kwa mbali...😜😉
 
Mmmmnh wenyewe mabomuu.
FB_IMG_15881526675707066.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado itakuwa historia yangu ya kupewa hela na kimwana itakuwa bado haijavunjwa!
Mi naomba hela pipi silagi pipi zangu Ni matunda mpenzi kasie au umenisahau..?

Hujui nakula matunda ili nidumishe afya ya mwili,akili na Lile shipa la mapenzi😜😉
Au unataka niwe mapengo Kama wewe..?
Usiwe hivyo kimwana mwaga midolali hata Kama upo mbali,nitumie kihalali nile na kachumbali bila kusahau na pilipili kwa mbali...😜😉

Aaaahahahahahahahaa keeengeeeh weeeh.... Nilikuwa sijakuelewa

Ngoja mtima wangu ufanye tena mahesabu aahahahahaaa.
 
Shule tunasoma wote mpaka chuo,kazi tunapata wote ukipata hela yangu yetu afu yako yako pekeako.
Naomba nitoke nje ya mada,

Hii tabia ya wanaume kuomba omba hela imetoka wapi.? Mbona inazidi kushamiri.?
Wanaume kazi ya kuomba omba pesa mtuachie tu siye, ninyi hampendezi walaqhi'..!!
 
Jana nmeshangaa sana, tulipanga kuonana na mwanamke mmoja hivi ambae ni rafik yangu kwa takribani miezi miwili, tulitoka jana mida ya saa 11 jioni hivi tukaelekea katika hotel moja pale kinondoni, tukapata vinywaji huku tukiendelea kupiga story, tukala na kusaza, baada ya kutumia nikataka kulipa bill,cha kushangaza binti yule alitoa pesa akalipa yeye nilishangaa sana.

Kwa maisha ya sasa kupata mwanamke anaelipa bill ya zaidi ya elfu 50 ni nadra sana.

Ndio ikawa hivo, tulikula na kusaza bill akalipa, baada ya hapo nikampeleka kwake namimi nikaenda zangu kwangu.

Haya maisha ukiwa na vipesa vya kubadilisha mboga ni matamu sana.
 
Wanawake wa aina hiyo ni wengi mno. Wakati ninasoma shule, mama alikuwa ananipa pesa za matumizi. Na kulipa bill za restaurant pia.
Jana nmeshangaa sana, tulipanga kuonana na mwanamke mmoja hivi ambae ni rafik yangu kwa takribani miezi miwili, tulitoka jana mida ya saa 11 jioni hivi tukaelekea katika hotel moja pale kinondoni, tukapata vinywaji huku tukiendelea kupiga story, tukala na kusaza, baada ya kutumia nikataka kulipa bill,cha kushangaza binti yule alitoa pesa akalipa yeye nilishangaa sana.

Kwa maisha ya sasa kupata mwanamke anaelipa bill ya zaidi ya elfu 50 ni nadra sana.

Ndio ikawa hivo, tulikula na kusaza bill akalipa, baada ya hapo nikampeleka kwake namimi nikaenda zangu kwangu.

Haya maisha ukiwa na vipesa vya kubadilisha mboga ni matamu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom