KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,760
- 86,417
Hicho ndicho sikiwezi mdomo ni kwaajili ya kula,kuongea na kubusu sometimes unapozidiwa unautumia kama siraha.. mtu kakutia kabali moja matata na umefanya mbinu za kutoka umeshindwa then ki mkono chake kimeukaribia mdomo au wale wanaopiga kabali anakuweka nyuma ya mgongo wake! Hapo ndo utajua meno pia ni muokozi wa maisha yako😂😅
Salute kwa meno ni mtetezi muaminifu..👍




