Tuliowahi kupewa hela na wanawake

Tuliowahi kupewa hela na wanawake

moja ya part ya kwenye kwich kwich.

It pays off

Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho ndicho sikiwezi mdomo ni kwaajili ya kula,kuongea na kubusu sometimes unapozidiwa unautumia kama siraha.. mtu kakutia kabali moja matata na umefanya mbinu za kutoka umeshindwa then ki mkono chake kimeukaribia mdomo au wale wanaopiga kabali anakuweka nyuma ya mgongo wake! Hapo ndo utajua meno pia ni muokozi wa maisha yako😂😅

Salute kwa meno ni mtetezi muaminifu..👍
 
nilipewa sana tena zaidi nikisema nina shida na kitu fulana nashangaa imesibitishwa.

Kuna muda mpaka nilikuwa napiga mkwara kuwa usinitumiep pesa yoyote acha nikae na matatizo yangu lakini nashangaa kitu kimesoma.

NB: Bado nipo naye, sasa ni zamu yangu naampa kila anataka coz nina kazi sasa, kipindi kile nilikuwa sina kazi.

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkipendana kwa dhati na kila mtu akamuelewa mwenzake basi hilo jambo linawezekana kabisa
Ni kweli mwanamke hutoa pesa kwa mwanaume anayempenda kwa dhati, tofauti na sisi wanaume wakati mwingine huwa tunatoa pesa kwa malengo mahsusi.
 
nilipewa sana tena zaidi nikisema nina shida na kitu fulana nashangaa imesibitishwa ..

Kuna muda mpaka nilikuwa napiga mkwara kuwa usinitumiep pesa yoyote acha nikae na matatizo yangu lakini nashangaa kitu kimesoma...
Hongera sana mkuu.

Family takes care family.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua pesa ya mwanamke hutoka mkiwa tayari katika mahusiano, lakini ni ngumu kuanzisha mahusiano na mwanamke ukiwa huna pesa.

Binafsi hizo mambo za kupewa pesa na mwanamke nilikutana nazo katika mapenzi ya kianafunzi anafunzi lakini kwa sasa sijabahatika.
 
Jumatano Baby mama alinipa kadi yake ya benki,mpaka sasa hivi nimetumia zaidi ya milioni nane laki mbili na elfu mbili mia mbili hamsini.
 
Hicho ndicho sikiwezi mdomo ni kwaajili ya kula,kuongea na kubusu sometimes unapozidiwa unautumia kama siraha.. mtu kakutia kabali moja matata na umefanya mbinu za kutoka umeshindwa then ki mkono chake kimeukaribia mdomo au wale wanaopiga kabali anakuweka nyuma ya mgongo wake! Hapo ndo utajua meno pia ni muokozi wa maisha yako

Salute kwa meno ni mtetezi muaminifu..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilipata mmoja Nikiwa nasoma Advance alinitoa sana hela kwakweli japo yeye alikuwa mdogo kwangu kwani aliishiaga form 2 akajiingiza kwenye kutafuta huko huko akaolewa Wakaishi mwaka mmoja na kuachana wakagawana vitu yeye akabakiwa na duka la jumla.

Yule msichana alitokea kunikubali sana. Bahati mbaya mtoto wake alozaa na msela akafariki .

Nikiwa chuo siku moja kaniambia ananifata akajaga kumbe kaniwekea mtego apate mtoto. Ndo hivyo zawadi yake yeye anayodai alitaka kwangu ni Mtoto tuu.

Ki ukweli wapo wanaotoa. Na sio kisingizio cha kusema Marioo au kisa ni mkubwa kwako mana kama huyu nae msema hapa nime mzidi miaka miwili na bado mtoto alikuwa analipa mtoto wa kinyaturu mweupe, umbo, na sura.
 
Dada sio katiba, eti mwanamke hawez msaidia mwanaume in terms of money.
Shida tumeumbiwa binadamu alafu ukizingatia ulie nae ni ur other half kwanini usimuombe akusaidie pale unapokwama.

Km mnavyotuomba tukiwa na shida na sisi pia sio dhambi kuwaomba tukiwa na shida.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaelewa kile namaanisha mkuu,
Nadhani sisi huwa hatusemi ila wapo wanaume wapo na wanawake ili kujinufaisha, hapa siongelei suala la kusaidiana kati ya mtu na mtuwe, Hapana, hiyo mbona inaeleweka na nitafanya kwa moyo kabisa hata yeye anafahamu hilo..!

Wapo wanaume kuomba omba pesa kwao ni tabia, na hawa mara nyingi huwa hawana msaada wowote kwako siku wewe ukiwa na shida, they're true definition of parasites.!!
 
Back
Top Bottom