Tuliowahi kupewa hela na wanawake

Tuliowahi kupewa hela na wanawake

Kuna kipindi mtoto wa kigogo aliniletea mafungu yote ya kikoba yeye ndo mweka hazina kwamba niizungushe izae afu tuje tuirudishe,nikaona huu mtego huu unaweza ukahama mji...mwanamke akipenda na akaona una akili anaweza kukuhonga hata nyumba ya baba ake😁
 
We unadhani kila mtu hakwami ?anapokusaidia na yeye anajua siku akikwama mtu wa kwanza kumsaidia ni wewe,hiyo hata si kuhongana,hivi mfano unamwona mpenzi wako kakwama na anashida we unamwangalia tu?we unadhani je siku we ukikwama atakusaidia nani.

MONEY STOP NONSENSE
Soma Post No 40, siyo mnakurupuka tu kujibu.!!
 
Kuna mdada mmoja huyo alikuwa ananipa hela sana sasa nikaja kukutana na jamaa anadai ni mpenzi wake,jamaa akaanza nisimulia jinsi anavyomhonga mdada kwa kumtatulia shida za kipesa afu siku ya mwisho kumpa kiasi fulani cha pesa ambacho ndo nilipewa mimi na huyo mdada na jamaa analaumu hajawahi kula tunda...nilichoka
 
Zamaani wakati bado mtoto kuna kijana nilikuwa na mahusiano nae, siku moja alienipigia simu akasema ameenda kwao amekuta wamekatiwa umeme mita ilikuwa na deni sijui ilikuwaje sikumbuki vizuri. Inatakiwa walipe elfu themanini kama sikosei na yeye pesa hana.... akasema niazime pesa nitakurudishia mshahara ukitoka. Nikamtumia na nilipanga nimpe tu ila yeye sikumwambia, kama mkosi vile ndani ya kipindi kifupi mahusiano yakaanza kuyumba na pesa yangu hata hajaonesha nia ya kurudisha, nikamkumbusha akaanza kupiga chenga ooh sina hela sasa hivi hela yako nitakulipa, nikamwambia nilipe sasa hivi. Akaanza kutoa povu nikasema hata sijali, fanya unilipe. Ooh basi ngoja nikope nikulipe,nikasema fanya hivyo. Alinirudishia huku ananisimanga, ndio tukawa tumemalizana. Hapo sikumhesabia elfu tano tano alizokuwa 'anaazima' bila kurudisha.

Alaa kumbe wameulizwa wanaume


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa hivi ushaacha utoto,huwezi msaidia pesa mpenzi wako?
 
Dada sio katiba, eti mwanamke hawez msaidia mwanaume in terms of money.
Shida tumeumbiwa binadamu alafu ukizingatia ulie nae ni ur other half kwanini usimuombe akusaidie pale unapokwama.

Km mnavyotuomba tukiwa na shida na sisi pia sio dhambi kuwaomba tukiwa na shida.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee mmoja wa makamo aliwahi kuniambia, kamwe mwanaume asikubali kupewa pesa na mwanamke, kama atapewa akiwa na shida flani basi ahakikishe anamrudishia hata kama mwanamke akiikataa yeye anapaswa alazimishe aipokee.... Pesa ya mwanamke ina masimango sana, ukizoea kupewa pesa na mwanamke kwa kigezo cha kusaidiana basi kubali kudharauliwa, atakutangaza kwa kila mtu atakayeongea nae, utadharaulika, kwa mwanamke pokea zawadi tu usipokee pesa, Acha mara moja hiyo tabia utaaibika.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Mzee mmoja wa makamo aliwahi kuniambia, kamwe mwanaume asikubali kupewa pesa na mwanamke, kama atapewa akiwa na shida flani basi ahakikishe anamrudishia hata kama mwanamke akiikataa yeye anapaswa alazimishe aipokee.... Pesa ya mwanamke ina masimango sana, ukizoea kupewa pesa na mwanamke kwa kigezo cha kusaidiana basi kubali kudharauliwa, atakutangaza kwa kila mtu atakayeongea nae, utadharaulika, kwa mwanamke pokea zawadi tu usipokee pesa, Acha mara moja hiyo tabia utaaibika.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Me mwenyewe majuzi kati nlikua nataka ninunue luku sikua na pesa kwa muda huo na tulikua nae akanipa 5000 ila kiukweli sikua na amani kabisa jana kanipiga mzinga wa 20000 knikajua hapa inaombwa ile hela yake kijanja nikamtumia 22 fasta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee mmoja wa makamo aliwahi kuniambia, kamwe mwanaume asikubali kupewa pesa na mwanamke, kama atapewa akiwa na shida flani basi ahakikishe anamrudishia hata kama mwanamke akiikataa yeye anapaswa alazimishe aipokee.... Pesa ya mwanamke ina masimango sana, ukizoea kupewa pesa na mwanamke kwa kigezo cha kusaidiana basi kubali kudharauliwa, atakutangaza kwa kila mtu atakayeongea nae, utadharaulika, kwa mwanamke pokea zawadi tu usipokee pesa, Acha mara moja hiyo tabia utaaibika.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Uko sawa kabisa hela ya mwanamke ukiichukua hata kama alikupa bure,siku ukiwa na hela mwambie hii hapa pesa yako ulinipa kipindi kile,usimpe indirect mwambie direct hii hapa ulinipa nimekurudishia.
 
Me mwenyewe majuzi kati nlikua nataka ninunue luku sikua na pesa kwa muda huo na tulikua nae akanipa 5000 ila kiukweli sikua na amani kabisa jana kanipiga mzinga wa 20000 knikajua hapa inaombwa ile hela yake kijanja nikamtumia 22 fasta

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulifanya jambo zuri sana kumpa na nyongeza... trust me ile elfu 5 ilikua inamkosesha amani hadi akilala anaweweseka.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Uko sawa kabisa hela ya mwanamke ukiichukua hata kama alikupa bure,siku ukiwa na hela mwambie hii hapa pesa yako ulinipa kipindi kile,usimpe indirect mwambie direct hii hapa ulinipa nimekurudishia.
Naam, ukijifanya ooh kanipa kwa mapenzi yake siku atakayokudhalilisha hutoamini kama ndie yule wa siku zote mwenye tabasamu na bashasha.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Siku nikipokea hiyo bahati nafikiri ndo itakuwa dalili ya kuwa sitaenda motoni..

Sijui ninamkosi kutoka dunia ipi maana kusema hata ile mia kwamba mtoto wa kike anipe kwamba nikale hata pipi sijawahi..

Nimeamini Mungu na waungwana shetani na wahuni..
Unaparamia makurumembe mzee, mademu yameumizwa kwenye mapenzi hadi mioyo yao imekuwa sugu, Tafuta watoto waliositaarabika mzee, wanaotoka katika familia bora, hawatafuti mwanaume kwa ajili ya kodi bali wanataka mapenzi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...SANA TU KWANZIA MSINGI MPAKA UTU UZIMA WANGU NILIPO ILA MI SIO MARIOO
 
Unaparamia makurumembe mzee, mademu yameumizwa kwenye mapenzi hadi mioyo yao imekuwa sugu, Tafuta watoto waliositaarabika mzee, wanaotoka katika familia bora, hawatafuti mwanaume kwa ajili ya kodi bali wanataka mapenzi..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha! Ati makurumbembešŸ˜‚šŸ˜…
Ngoja nikatafute wa geti Kali..
 
Though ni mara chache sana... Mwanamke kumpa Mwanaume pesa...

Ila wapo wanawake wenye roho za kutoa... Sababu kutoa ni moyo...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom