Tuliowahi kupewa hela na wanawake

Tuliowahi kupewa hela na wanawake

Hujaelewa kile namaanisha mkuu,
Nadhani sisi huwa hatusemi ila wapo wanaume wapo na wanawake ili kujinufaisha, hapa siongelei suala la kusaidiana kati ya mtu na mtuwe, Hapana, hiyo mbona inaeleweka na nitafanya kwa moyo kabisa hata yeye anafahamu hilo..!

Wapo wanaume kuomba omba pesa kwao ni tabia, na hawa mara nyingi huwa hawana msaada wowote kwako siku wewe ukiwa na shida, they're true definition of parasites.!!
Asante kwa kunielewesha dada carleen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujaelewa kile namaanisha mkuu,
Nadhani sisi huwa hatusemi ila wapo wanaume wapo na wanawake ili kujinufaisha, hapa siongelei suala la kusaidiana kati ya mtu na mtuwe, Hapana, hiyo mbona inaeleweka na nitafanya kwa moyo kabisa hata yeye anafahamu hilo..!

Wapo wanaume kuomba omba pesa kwao ni tabia, na hawa mara nyingi huwa hawana msaada wowote kwako siku wewe ukiwa na shida, they're true definition of parasites.!!
😂😂
Inaonekana unauzoefu wa parasite 😅
Pole sana..
 
Kuna wanaume nikiwakubali wanakula hela yangu kiroho safi tuu. Nimelelewa maadili ya kuwa, mwanaume ni ikichwa cha familia hivyo akihitaji hela kwangu kama nnayo nampa bila kutaka kujua atairudisha lini, anaifanyia nini.

Ila akikuta nimekaukiwa sina kabisaa hela ya kumpa, daah ntajikuta namwambia usijali ntakupigia simu kukwambia nakupaje hiyo hela, hivyo akiona kimya ajue ndo getegete.

Pesa si kitu mbele ya upendo ila ambacho sifanyi ni kuhonga, pesa yangu sihongi mwanaume ila akiniambia ninahitaji pesa na sauti yake ikapata kibali kutoka moyoni kuwa mpe, pasi shaka namtumia tuu.

K' Matata.
 
Xmas ya 1990 Niko Mby kipindi hicho nilikua na rafiki wa kike, alikua na watoto 2 wakati mimi kijana. Kwa kweli huyu mdada, msafwa mweusi mtamu alinipa sh 700 kipindi hicho ni hela nyingi sana.

Wakati nimelala kwake usiku kazitia kwenye mfuko wa suruali yangu. Wakati nakatiza mitaa ya Makunguru kutia mkono mfukoni nikaibuka na mzigo 700 shillings cash.
 
Nakumbuka wakati naanza mahusiano na huyu niliyenaye nilikuwa bado sina ajira. uzuri nilikuwa na kabiashara kangu ka tigo pesa nashanga siku anakuja kwenye kiofisi changu akaniambia anatoa pesa nikampa code ya wakala yangu akatoa 700000.

Ile namwesabia nimpe akasema amenipa niongezea mtaji daaah sikuamini na sikuwahi muomba kabisa.

Thanks God ile hela ilikuwa na bahati mtaji ulikuwa na biashara ikatanuka.kuna wanawake wanaletwa kwenye maisha yetu kama ngazi ya mafanikio.hawa ni wakiwaheshimu na kuwajali.
 
Nakumbuka wakati naanza mahusiano na huyu niliyonaye nilikuwa bado sina ajira uzuri nilikuwa na kabiashara kangu ka tigo pesa nashanga siku anakuja kwenye kiofisi changu akaniambia anatoa pesa nikampa code ya wakala yangu akatoa 700000.ile namwesabia nimpe akasema amenipa niongezea mtaji daaah sikuamini na sikuwahi muomba kabisa. Thanks God ile hela ilikuwa na bahati mtaji ulikuwa na biashara ikatanuka.kuna wanawake wanaletwa kwenye maisha yetu kama ngazi ya mafanikio.hawa ni wakiwaheshimu na kuwajali.
Na wala hukuwa na haja ya kumuuliza katoa wapi? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
😂 😂
Wooiiii..!
Wengine ni marafiki tu lakini wanajua kutuchuna walaqhi'..!
Halafu wanaume wadangaji mara nyingi ni wale wenye muonekano mzuri, wanajua uzuri wao unawapa credit wakitaka chochote.!
Ha ha!
Pole zaidi inaonekana unatufahamu vilivyo.. na nyie itabidi muone tuuchungu twa kuomba hela hela..
Vijana wanahangaika ajira hakuna elimu tuliyonayo ya kuajiliwa unataka wajiajiri ndo wanajiajili hivyo Sasa😂

Binafsi tabia za kumuomba mtoto wa kike hela dah!! Kusema kweli sijawahi labda sister au mother wangu hao ndo naweza lkn na wao Mara chache sanaaa.. ila mother ye ndo mdekezaji ananidekeza kiziwanda chake😜😅
Nampenda Sana mama yangu japo sideki ila anajua kunidekeza..😂🤣
 
Ila tabia ya kuomba omba sio nzuri. Kama mwanamke anakupenda na anaiona hali yako ilivyo ya kimaisha na yeye kidogo ana kitu cha kuniangalizia hela,atakusaidia tu.
 
Binafsi nikimuelewa mtu na asipokuwa na mambo mengi basi atanikula helaa🙄sijui huwa napatwa na nini😑
 
Back
Top Bottom