kancher
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 472
- 472
Sisi pia tuanzisheHakuna ugonjwa mbaya kama depression, ukipata depression iliyo serious na usipojiuwa wewe ni kidume.
Ndio maana wazungu wanafanya kila namna kupambana na hii kitu, wameanzisha hadi center za kuwasaidia watu walio na depression
Vipi mkuu kwasasa Mambo yamekaa at least afadhari?? Na je bado upo na familia yako??Amini. Hata hivyo Mungu amekuwa mwema kwangu
Wewe bwanamdogo Mungu anakusudi na wewe anataka umtumikie, haiwezekani upone kwa attempt zote ulizozifanya amini Mungu anakusudi na maisha yako utakuja kuwa mtumishi mkubwa sana tubu mgeukie yeyeBado sijaikamilisha kazi iliyonileta hapa duniani M pretty
Huku tunaona bado sio tatizo kubwa, mtu akijiuwa tunamuona ni mjinga sana
Ukweli ni kwamba sumu za panya nyingi zinazouzwa hazina madhara kiivyo kwa binadamu. Hata mie nlijaribu pakti 4 tofauti sikufa nliishia kuharisha na kutapika
Nakuja PM mkuu unipe jina na rangi ya hiyo sumu iliyokupelekesha nami niitafute.





unataka kujiua??TunakoseaHuku tunaona bado sio tatizo kubwa, mtu akijiuwa tunamuona ni mjinga sana
demu yuko wapi sasa ?Nilishawahi kupiga mixer ya dozi moja na nusu ya fragile na nusu ya cetrin (sina uhakika kama inaandikwa hivyo) kisha nikashushia bia bingwa. Kabla bia yenyewe sijaimaliza demu wangu akaingia ghetto, aliona siko sawa, halafu pembeni akakuta makaratasi kibao ya dawa basi akajua tayari mana alikua anajua napitia kipindi kigumu mno, akapiga kelele wapangaji wenzangu wakajaa wakaninywesha mchanganyiko wa maji na majivu nikatapika kinoma pale.
Demu akanichukua tukaenda kwake, muda huo m najiona niko sawa tu. Akatuma mtoto wake akanunue maziwa nayo nikapiga huku natapika sio poa. Basi bwana baadae kidogo cha moto ndo nikaanza kukiona, nikawa najisikia hovyo mno yan muda wote nataman niwe natapika. Tumbo linavuruga hatari, mwili hauna nguvu hata kidogo. Sikulala ile siku
Kesho yake mambo yakazidi kuwa hovyo zaidi. Tumbo linauma kinoma yan utafikiri ndani linakatwa katwa, nikienda haja natoa tu vibonge bonge vya damu. Haja ndogo mkojo una mchanganyiko wa damu kama yote asee! Huku hamu ya kula sina nakunywa tu uji. Mungu ambariki yule manzi popote alipo, alinipigania sana. Hali ikaenda hivyo kama siku nne hivi kisha nikawa sawa.
Kamari sio poa jamani, haifai
Sent using Jamii Forums mobile app
uitafute tena ??? kwa nn usione uzuri wa ww kuwa hai mkuu ? nn shida share nasi tunaweza kukusaidia pia.Ukweli ni kwamba sumu za panya nyingi zinazouzwa hazina madhara kiivyo kwa binadamu. Hata mie nlijaribu pakti 4 tofauti sikufa nliishia kuharisha na kutapika
Nakuja PM mkuu unipe jina na rangi ya hiyo sumu iliyokupelekesha nami niitafute.
Hili ni funzo katika maisha usimdharau mtu kwa sababu hujui kesho yake. Maisha hayana kanuni hivyo ni vema kuheshimiana, kusaidiana na kutiana moyo.Ni kweli mkuu unakuta hawajui namna akili inavyovurugika.
Madharau yapo kila mahali! Kuna kipindi nikiwa fresh kiuchumi nilikuwa nikiona mtu anafanya kazi ya mtaji mdogo, nawaza kichwani kimya kimya kwamba mimi siwezi kufanya kazi kama hiyo.
Miaka michache mbeleni nilikuja kuuza matunda kwa mtaji ambao hufikia hata laki tano. Kumbuka nyuma ya hapo nilikuwa nadharau hata kazi ya mtaji mdogo hata wa milioni moja
Daah, kumbe yapo sawa na yale ya Bahati Bukuku. Pole vipi mkuu ulisamehe au ndo, hukukumbukq hata ule wimbo wa Boss wa FeruziNilipitia kipindi kigumu sana kwenye maisha yangu, kigumu mnoo! Nae akawa bega kwa bega na mimi kunisaidia kila hatua (abarikiwe)..shida ni huko alikokua anapata hizo hela, yakawa yaleyale ya Baraka Da Prince na Ruby (Nivumilie Song)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuachana nae kwa ubaya. After all nilikuja kugundua mitazamo yetu imebadilika, wakati mimi bado nafikiria uaminifu ni nguzo muhimu yeye alikua anafikiria kuwa anaweza kuwa na mwingine ambaye kwa madai yake eti hampendi as long as jamaa ana provide yale ambayo mimi siwezi.Daah, kumbe yapo sawa na yale ya Bahati Bukuku. Pole vipi mkuu ulisamehe au ndo, hukukumbukq hata ule wimbo wa Boss wa Feruzi
Ubaya ni kwamba mtenda yeye huwa anasahau haraka sana. Sahau na kusamehe tu mkuuHii dunia ina mambo yake. Mimi mmoja kati ya watoro wetu wa3 siku anazaliwa nilikuwa nimebakiza buku tu baada ya kumrudisha wife home kutoka hospital. Kwakuwa ilikuwa usiku nikaona sio ishu, atakula kwa ndugu niliyekuwa naishi nae nyumbani. Ili kupunguza zile za "mzazi hali hiki na hiki" nikapotea nyumbani kama masaa mawili huku nawaza asubuhi itakuwaje. Poda, sabuni, nguo za kumshikia mtoto wakati wa baridi, chakula cha mzazi n.k. hapo hata unga hakuna ndani maana uliisha siku moja kabla hajaenda kujifungua. Nikazuga mpaka saa tatu nikasema ngoja nipande home nikalale mimi mwanaume nitajikaza hadi kesho. Lahaula!! Kufika home kachanga kanalia mama mtu anabembeleza lakini ukisikiliza sauti yake ni kama analia pia. Nikawaza imekuwaje, nikabisha mlango nikafunguliwa. Nikauliza kulikoni, wife aliponijibu sikutaka hata kumwangalia maana nilihisi aibu. Aliniuliza "mbna umeondoka bila kuacha hata chakula, nina njaa tangu nilipokula ule mkate mchana hospital sijala mpaka sasa" nikamuuliza kwann hujala si ungekula kwa bro? "Wamepika wakamaliza wakaenda kulia ndani mwao hata hawajanisemesha." Nyumba niliyokuwa naishi ndio hiyohiyo ilikuwa na chumba kinachotumika kama jiko, fikiria nini kilikuwa kikiendelea. Kwa huzuni kabisa nikamwambia wife nina buku hapa na hukoama ntilie wote wamefunga. Akaniambia atakikaza ila maziwa ndio hamna. Asubuhi niliamka mapema sana kuhangaika nione wataishije. Ajabu ni kuwa hakuna aliyejali zaidi ya kuambiwa "usiku tulipika kaugali kadogo tukaona mzazi hatashiba" sikuwajibu. Mungu alisaidia nikajipanga kwa mbinde maisha yakasonga mpaka mtoto akawa mkubwa. Narudia tena NDUGU ZAKO UNAWAPATA WAKATI WA SHIDA. Fikiria mzazi kabisa, hili mpaka nazama chini sitalisahau na huwa namwangalia mtenda nasema yamepita.
Nilipitia kipindi kigumu sana kwenye maisha yangu, kigumu mnoo! Nae akawa bega kwa bega na mimi kunisaidia kila hatua (abarikiwe)..shida ni huko alikokua anapata hizo hela, yakawa yaleyale ya Baraka Da Prince na Ruby (Nivumilie Song)
ama kwa hakika kizuri hakikosi kasoro. pole zake na zako maana upendo wake kwako ulifanya aafanye lolote kwa ajili yako.Nilipitia kipindi kigumu sana kwenye maisha yangu, kigumu mnoo! Nae akawa bega kwa bega na mimi kunisaidia kila hatua (abarikiwe)..shida ni huko alikokua anapata hizo hela, yakawa yaleyale ya Baraka Da Prince na Ruby (Nivumilie Song)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo' hivyo mkuu. Nami nakiri kuwa alinipenda, mchawi pesa tu. Vijana tutafute pesa, watu hata mpendane vipi lakini pesa ikikosekana mambo yanaenda kombo. Upendo sio jawabu la kila kituama kwa hakika kizuri hakikosi kasoro. pole zake na zako maana upendo wake kwako ulifanya aafanye lolote kwa ajili yako.
Sent using Jamii Forums mobile app