Tuliowahi kunywa sumu tukutane hapa

Mzee umenikumbusha au unanisema

Mie mwanangu wa tatu kipindi Cha kujifungua Ile wife kaamka asubuh gafla anasema tumbo linamuuma na inawezakana mambo yameiva kujicheki nna buku 2 nikamfata bwana mdogo nikamueleza akasema hana hata kumi Ila kiuhalisia alkua vizuri nikapiga baiskel kwa ile kauli alioniambia huku choz zikinitoka nikaenda kwa jamaa mmoja nae akanichomolea ikanibid kibishi nikamchukua bodaboda akampeleka wife hospital huku wale madogo wawili nikiwaandaa waende nyumban mana nlifulia kiasi Cha kutoka jijini hadi wilayan Yan nlirudisha Mpira kws kipa Ila nilipanga nyumba basi nikatoa buku nikanunua chapati za madogo nikabak na buku.

MUNGU saidia kufika hospital muda tuu wife akajifungua inshu anatokaje pale hospital home maza hayupo na ndie mkombozi kiunganishi bad nikarud home mpaka jion nikasema liwalo naliwe nikamchukua buku nikaweka tigopesa nikaweka mbet nikapet buku izae 45k kesho ake asubuh kuchek simu nishinda Ile bet nikatoa pesa kwenda hospital nikakuta yule bwana mdogo kaona aibu akalipa hospital na usafir kurud home Ile hela ya bet ndo ukanisaidia kuanza maisha ya dogo mpya.

Mie nae Nina mapichapicha Hadi najiwaza aisee
Pole sana. Kuna watu wanazaliwa wanakutana na mitihni mpaka wanakufa.
 
Mimi sasahivi nilishawaambia hata ndugu. Rafiki yangu kwenye shida hata kama sio ndugu yangu, namuheshimu kuliko hata ndugu wa tumbo moja. Kuna jamaa hatukuwa na urafiki hata ule wa kusalimiana na kwao zipo kidogo, alikuwa rafiki yangu ghafla mpaka kuna muda alikuwa anawatuita mimi wife na watoto tukapige stori kwake maana tulikuwa majiranu (baadaye nimekuja kugundua alikuwa anatuita tukale kiaina maana alikuwa anatuita wakati mkewe akiwa jikoni. Yaani ilikuwa inaanza hv, mkewe akanakuja anamuita wife ampe kampan jikoni ana stori ampe, mara kidogo watoto wanaitana wanaenda kucheza, halafu baadaye unasikia fulani mwite baba aje tukae huku aikae mwenyewe) huyu hata akikosea namsamehe haraka bila hata kuomba msamaha.
Dah kidogo chozi la kiume linidondoke.

Nimemkumbuka jirani aliyechangia pakubwa kuokoa jahazi letu baada ya kutelekezwa na baba mdogo tukiwa yatima katika wakati wa uhitaji mkubwa kuliko wakati mwingine wowote.

Hiyo familia ibarikiwe sana, inaonekana ni roho safi tupu kuanzia baba, mama hadi watoto. Msalimie sana jirani, mwambie mchango wake haujathaminiwa na wewe pekee, bali wote tuliopitia /tunaopitia tabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba sumu za panya nyingi zinazouzwa hazina madhara kiivyo kwa binadamu. Hata mie nlijaribu pakti 4 tofauti sikufa nliishia kuharisha na kutapika

Nakuja PM mkuu unipe jina na rangi ya hiyo sumu iliyokupelekesha nami niitafute.
Hope ulidhamiria kweli
 
Huu Uzi ufutwe tu manake Kila nikiutizama nakumbuka kipindi nilitamani kufa nikajaribu nikashindwa!!


Hapa ndio Kuna saa nataka kuamini MUNGU yupo na ananipenda mno
 
Back
Top Bottom