Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,511
- 10,418
Pole sana. Kuna watu wanazaliwa wanakutana na mitihni mpaka wanakufa.Mzee umenikumbusha au unanisema
Mie mwanangu wa tatu kipindi Cha kujifungua Ile wife kaamka asubuh gafla anasema tumbo linamuuma na inawezakana mambo yameiva kujicheki nna buku 2 nikamfata bwana mdogo nikamueleza akasema hana hata kumi Ila kiuhalisia alkua vizuri nikapiga baiskel kwa ile kauli alioniambia huku choz zikinitoka nikaenda kwa jamaa mmoja nae akanichomolea ikanibid kibishi nikamchukua bodaboda akampeleka wife hospital huku wale madogo wawili nikiwaandaa waende nyumban mana nlifulia kiasi Cha kutoka jijini hadi wilayan Yan nlirudisha Mpira kws kipa Ila nilipanga nyumba basi nikatoa buku nikanunua chapati za madogo nikabak na buku.
MUNGU saidia kufika hospital muda tuu wife akajifungua inshu anatokaje pale hospital home maza hayupo na ndie mkombozi kiunganishi bad nikarud home mpaka jion nikasema liwalo naliwe nikamchukua buku nikaweka tigopesa nikaweka mbet nikapet buku izae 45k kesho ake asubuh kuchek simu nishinda Ile bet nikatoa pesa kwenda hospital nikakuta yule bwana mdogo kaona aibu akalipa hospital na usafir kurud home Ile hela ya bet ndo ukanisaidia kuanza maisha ya dogo mpya.
Mie nae Nina mapichapicha Hadi najiwaza aisee