Tuliowahi kunywa sumu tukutane hapa

Tuliowahi kunywa sumu tukutane hapa

Mkuu,ukiniambia umejikojolea kwa sababu ya kujichua nakataana na ww...goli langu la kwanza nimeliexperiens kwenye nyeto,when I'm 13....now I'm 30+ STILL I'm masturbate...na cjajikojoleaga,nna mke na watoto wawili.af nadhan nlikua konk kuliko ww,coz mwanzon nlikua napiga hd bao6 kwa punyeto kwa ck,yaan nlikua addicted more than addiction..nw nmepunguza dose lkn cjaacha,japo nna mke na michepuko kadhaa.kuhus sum...hyo ulikua unajipa dose ya panya kulingana na uzito wake,ukitaka kuupata uzito wa binadam utafte uzi Wang nloupost Jana,af jarb...ukisavaiv rudi hapa kutupa ushuhuda

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi inategemea maana mimi kuna kipindi nilizidisha hadi nikakonda, basi nikaamua kusitisha kwa mwezi mmoja japo kwa mbinde ndio tatizo la kikojoa kitandani likaisha
 
Mwaka 1975,nikiwa kijana katika kijiji chang u (jina kapuni), nililishwa sumu na bibi moja akimtumia mjukuu wake ambaye nilikuwa nasoma naye. Sumu hii nilipewa kupitia pombe ya kienyeji.
Niliporudi nyumbani muda wa jioni nilitapika sana.
Pamoja na kutapika lakini madhara ya sumu yalinisumbua sana katika kusoma kwangu na kwa kiasi kikubwa yalipunguza uwezo wangu mkubwa darasani ambao ulikuwa katika ngazi ya kitaifa.
Bibi huyu alifanya haya kwa sababu za wivu kwa sababu alitambua ujasiri wangu.
Mwaka 1993 nililishwa sumu tena ofisini kupitia kwenye chai.
Baada ya kujisikia vibaya nilimwita driver wangu ili anirudishe nyumbani. Wakati ananirudisha nyumbani nilikuwa natapika njia nzima. Nililazwa Muhimbili kwa siku tatu na baadaye nilirudi nyumbani.
Niliporudi ofisini, yule Binti aliyenipa chai sikumkuta. Aliacha kazi. Huyu alitumiwa na wabaya wangu kwa sababu nikiwa kiongozi nilipiga vita ufisadi wote uliokuwa unafanywa kwenye shirika ambalo lilikuwa linaendeshwa kwa hasara. Katika uongozi wangu wa miaka mitatu, kila mwaka tulipata faida kubwa.
Mwaka 2013, Mungu aliniepusha na kifo baada ya kupona kuuwawa kwa kutumia Bunduki.
Muda wa saa tatu usiku wakati narudi nyumbani kwa gari ya kukodi, niliona magari mawili yakinifuata kwa nyuma, Nilimuuliza Driver magari yametokea wapi? Alinijibu sijui. Tulikuwa tumekaribia karibu na nyumbani. Nilimwagiza Driver asikate kuingia kwangu mbali anyooshe moja kwa moja.
Magari haya mawili yalisimama getini kwangu na kugeuza. Driver aliendesha gari hadi Ikulu ndogo ya Mkoa. Nilipiga simu kwa rafiki zangu ambao walikuja kunichukua. Siku ya pili nilikwenda kuripoti Polisi. Yote hayo nayo yalisababishwa na Mimi kukataa kuhujumu mali ya umma.
Lakini kwa kifupi, imeandikwa, ukiwa mtu wa haki hata wakitaka kutoa roho yako hawataweza kamwe.
Sijawahi kuweka matukio haya kwa maandishi na hadharani.
Ndugu zangu na rafiki zangu wanayajua.
 
Mwaka 1975,nikiwa kijana katika kijiji chang u (jina kapuni), nililishwa sumu na bibi moja akimtumia mjukuu wake ambaye nilikuwa nasoma naye. Sumu hii nilipewa kupitia pombe ya kienyeji.
Niliporudi nyumbani muda wa jioni nilitapika sana.
Pamoja na kutapika lakini madhara ya sumu yalinisumbua sana katika kusoma kwangu na kwa kiasi kikubwa yalipunguza uwezo wangu mkubwa darasani ambao ulikuwa katika ngazi ya kitaifa.
Bibi huyu alifanya haya kwa sababu za wivu kwa sababu alitambua ujasiri wangu.
Mwaka 1993 nililishwa sumu tena ofisini kupitia kwenye chai.
Baada ya kujisikia vibaya nilimwita driver wangu ili anirudishe nyumbani. Wakati ananirudisha nyumbani nilikuwa natapika njia nzima. Nililazwa Muhimbili kwa siku tatu na baadaye nilirudi nyumbani.
Niliporudi ofisini, yule Binti aliyenipa chai sikumkuta. Aliacha kazi. Huyu alitumiwa na wabaya wangu kwa sababu nikiwa kiongozi nilipiga vita ufisadi wote uliokuwa unafanywa kwenye shirika ambalo lilikuwa linaendeshwa kwa hasara. Katika uongozi wangu wa miaka mitatu, kila mwaka tulipata faida kubwa.
Mwaka 2013, Mungu aliniepusha na kifo baada ya kupona kuuwawa kwa kutumia Bunduki.
Muda wa saa tatu usiku wakati narudi nyumbani kwa gari ya kukodi, niliona magari mawili yakinifuata kwa nyuma, Nilimuuliza Driver magari yametokea wapi? Alinijibu sijui. Tulikuwa tumekaribia karibu na nyumbani. Nilimwagiza Driver asikate kuingia kwangu mbali anyooshe moja kwa moja.
Magari haya mawili yalisimama getini kwangu na kugeuza. Driver aliendesha gari hadi Ikulu ndogo ya Mkoa. Nilipiga simu kwa rafiki zangu ambao walikuja kunichukua. Siku ya pili nilikwenda kuripoti Polisi. Yote hayo nayo yalisababishwa na Mimi kukataa kuhujumu mali ya umma.
Lakini kwa kifupi, imeandikwa, ukiwa mtu wa haki hata wakitaka kutoa roho yako hawataweza kamwe.
Sijawahi kuweka matukio haya kwa maandishi na hadharani.
Ndugu zangu na rafiki zangu wanayajua.
Duh kwahiyo ulijuaje kama walitaka kukumaliza kwa bunduki? Na huyo binti aliyekuwekea sumu ulimchukulia hatua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila kitu watu wanaweka mitandaoni. Yashangaza!!
Mkuu usione hivyo kwa kiasi kikubwa inasaidia watu kutoa ya moyoni especially hapa ni sehemu salama watu hawajuani,by the way wewe unaweza ukawa unaweza kuhandle mambo yako mwenyewe na ukakaa kimya au kuna mtu anaweA kukusikiliza wengine hawana vyote viwili hivyo tukumbatie utofauti wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2013, Mungu aliniepusha na kifo baada ya kupona kuuwawa kwa kutumia Bunduki.
Muda wa saa tatu usiku wakati narudi nyumbani kwa gari ya kukodi, niliona magari mawili yakinifuata kwa nyuma, Nilimuuliza Driver magari yametokea wapi? Alinijibu sijui. Tulikuwa tumekaribia karibu na nyumbani. Nilimwagiza Driver asikate kuingia kwangu mbali anyooshe moja kwa moja.
Magari haya mawili yalisimama getini kwangu na kugeuza. Driver aliendesha gari hadi Ikulu ndogo ya Mkoa.
saa 3 usiku gari imekufuata nyuma halafu ukajua kama wana bunduki tena ukiwa umepitiliza kwako. fafanua vizuri unless itakuwa chai hii
 
Mkuu hii roho huwa haimwachi mtu ipo siku tu itakuondoa cha kufanya nenda kanisa linaloamini wokovu katubu hiyo dhambi kisha uwekewe mikono ili hilo pepo lifukuzwe lisikufuatilie tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
Biblia imeandikwa "Imani ni kuwa na hakika na mambo yasiyoonekana, ni bayana ya mambo yatarajiwayo." Toba ni kati ya mtu na Mungu. Binafsi naamini hakuna toba ya mtu>mtu>Mungu (sipingani na dini yoyote) kama amefikia hatua ya kueleza, naamini alishatubu mbele za Mungu na kamwe hiyo roho haitaweza kumfuata ten. Sema Amina😁😁
 
Nilishawahi kupiga mixer ya dozi moja na nusu ya fragile na nusu ya cetrin (sina uhakika kama inaandikwa hivyo) kisha nikashushia bia bingwa. Kabla bia yenyewe sijaimaliza demu wangu akaingia ghetto, aliona siko sawa, halafu pembeni akakuta makaratasi kibao ya dawa basi akajua tayari mana alikua anajua napitia kipindi kigumu mno, akapiga kelele wapangaji wenzangu wakajaa wakaninywesha mchanganyiko wa maji na majivu nikatapika kinoma pale.

Demu akanichukua tukaenda kwake, muda huo m najiona niko sawa tu. Akatuma mtoto wake akanunue maziwa nayo nikapiga huku natapika sio poa. Basi bwana baadae kidogo cha moto ndo nikaanza kukiona, nikawa najisikia hovyo mno yan muda wote nataman niwe natapika. Tumbo linavuruga hatari, mwili hauna nguvu hata kidogo. Sikulala ile siku

Kesho yake mambo yakazidi kuwa hovyo zaidi. Tumbo linauma kinoma yan utafikiri ndani linakatwa katwa, nikienda haja natoa tu vibonge bonge vya damu. Haja ndogo mkojo una mchanganyiko wa damu kama yote asee! Huku hamu ya kula sina nakunywa tu uji. Mungu ambariki yule manzi popote alipo, alinipigania sana. Hali ikaenda hivyo kama siku nne hivi kisha nikawa sawa.

Kamari sio poa jamani, haifai

Sent using Jamii Forums mobile app
😳😳Kwanini ulimuacha huyo mwanamke aende?
 
Nilishawahi kupiga mixer ya dozi moja na nusu ya fragile na nusu ya cetrin (sina uhakika kama inaandikwa hivyo) kisha nikashushia bia bingwa. Kabla bia yenyewe sijaimaliza demu wangu akaingia ghetto, aliona siko sawa, halafu pembeni akakuta makaratasi kibao ya dawa basi akajua tayari mana alikua anajua napitia kipindi kigumu mno, akapiga kelele wapangaji wenzangu wakajaa wakaninywesha mchanganyiko wa maji na majivu nikatapika kinoma pale.

Demu akanichukua tukaenda kwake, muda huo m najiona niko sawa tu. Akatuma mtoto wake akanunue maziwa nayo nikapiga huku natapika sio poa. Basi bwana baadae kidogo cha moto ndo nikaanza kukiona, nikawa najisikia hovyo mno yan muda wote nataman niwe natapika. Tumbo linavuruga hatari, mwili hauna nguvu hata kidogo. Sikulala ile siku

Kesho yake mambo yakazidi kuwa hovyo zaidi. Tumbo linauma kinoma yan utafikiri ndani linakatwa katwa, nikienda haja natoa tu vibonge bonge vya damu. Haja ndogo mkojo una mchanganyiko wa damu kama yote asee! Huku hamu ya kula sina nakunywa tu uji. Mungu ambariki yule manzi popote alipo, alinipigania sana. Hali ikaenda hivyo kama siku nne hivi kisha nikawa sawa.

Kamari sio poa jamani, haifai

Sent using Jamii Forums mobile app
😳😳Kwanini ulimuacha huyo mwanamke aende?
 
Ukweli ni kwamba sumu za panya nyingi zinazouzwa hazina madhara kiivyo kwa binadamu. Hata mie nlijaribu pakti 4 tofauti sikufa nliishia kuharisha na kutapika

Nakuja PM mkuu unipe jina na rangi ya hiyo sumu iliyokupelekesha nami niitafute.
 
Mwaka 1975,nikiwa kijana katika kijiji chang u (jina kapuni), nililishwa sumu na bibi moja akimtumia mjukuu wake ambaye nilikuwa nasoma naye. Sumu hii nilipewa kupitia pombe ya kienyeji.
Niliporudi nyumbani muda wa jioni nilitapika sana.
Pamoja na kutapika lakini madhara ya sumu yalinisumbua sana katika kusoma kwangu na kwa kiasi kikubwa yalipunguza uwezo wangu mkubwa darasani ambao ulikuwa katika ngazi ya kitaifa.
Bibi huyu alifanya haya kwa sababu za wivu kwa sababu alitambua ujasiri wangu.
Mwaka 1993 nililishwa sumu tena ofisini kupitia kwenye chai.
Baada ya kujisikia vibaya nilimwita driver wangu ili anirudishe nyumbani. Wakati ananirudisha nyumbani nilikuwa natapika njia nzima. Nililazwa Muhimbili kwa siku tatu na baadaye nilirudi nyumbani.
Niliporudi ofisini, yule Binti aliyenipa chai sikumkuta. Aliacha kazi. Huyu alitumiwa na wabaya wangu kwa sababu nikiwa kiongozi nilipiga vita ufisadi wote uliokuwa unafanywa kwenye shirika ambalo lilikuwa linaendeshwa kwa hasara. Katika uongozi wangu wa miaka mitatu, kila mwaka tulipata faida kubwa.
Mwaka 2013, Mungu aliniepusha na kifo baada ya kupona kuuwawa kwa kutumia Bunduki.
Muda wa saa tatu usiku wakati narudi nyumbani kwa gari ya kukodi, niliona magari mawili yakinifuata kwa nyuma, Nilimuuliza Driver magari yametokea wapi? Alinijibu sijui. Tulikuwa tumekaribia karibu na nyumbani. Nilimwagiza Driver asikate kuingia kwangu mbali anyooshe moja kwa moja.
Magari haya mawili yalisimama getini kwangu na kugeuza. Driver aliendesha gari hadi Ikulu ndogo ya Mkoa. Nilipiga simu kwa rafiki zangu ambao walikuja kunichukua. Siku ya pili nilikwenda kuripoti Polisi. Yote hayo nayo yalisababishwa na Mimi kukataa kuhujumu mali ya umma.
Lakini kwa kifupi, imeandikwa, ukiwa mtu wa haki hata wakitaka kutoa roho yako hawataweza kamwe.
Sijawahi kuweka matukio haya kwa maandishi na hadharani.
Ndugu zangu na rafiki zangu wanayajua.
Dah!. Pole mkuu ila hongera maana kama viongozi wengi wangekuwa kama wewe, Tanzania mbele sana kiuchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sasahivi nilishawaambia hata ndugu. Rafiki yangu kwenye shida hata kama sio ndugu yangu, namuheshimu kuliko hata ndugu wa tumbo moja. Kuna jamaa hatukuwa na urafiki hata ule wa kusalimiana na kwao zipo kidogo, alikuwa rafiki yangu ghafla mpaka kuna muda alikuwa anawatuita mimi wife na watoto tukapige stori kwake maana tulikuwa majiranu (baadaye nimekuja kugundua alikuwa anatuita tukale kiaina maana alikuwa anatuita wakati mkewe akiwa jikoni. Yaani ilikuwa inaanza hv, mkewe akanakuja anamuita wife ampe kampan jikoni ana stori ampe, mara kidogo watoto wanaitana wanaenda kucheza, halafu baadaye unasikia fulani mwite baba aje tukae huku aikae mwenyewe) huyu hata akikosea namsamehe haraka bila hata kuomba msamaha.
Mkuu hujafunguka ila naona ulipitia kipindi kigumu na familia...pole

"corona ipo tuchukue tahadhari"
 
Nilipoona title ya nyuzi nikaanza kucheka nikijua ni uzi tu wa utani,lakini kumbe mkuu uko serious.

Kwenye mambo yashawahi nigomea lakini ishu ya kujiua sijawahi kabisa kufikiria,najua thamani ya uhai.
Mkuu acha masihara ladba katika ulaji wa matunda tu.
Thamani ya uhai inapungua kwa asilimia 80% linapokuja suala la kula tunda hasa kimasihara , .

《Caprichar o teu sorriso》
 
Kwa kweli watu hatufanani.

Sijawahi kufikiria kujiua Maishani mwangu, na nashangaa kwanini ujiue!

Bora ufanye balaa lolote la hatari kwasababu ushajitolea kufa au kupona.

Ukifanikisha sawa, na usipofanikisha huna cha kupoteza kwasababu ulishajitoa muhanga.

Simulizi yako umeanza vizuri ulipomalizia na kujichua ndio umeharibu kila kitu
 
Ukweli ni kwamba sumu za panya nyingi zinazouzwa hazina madhara kiivyo kwa binadamu. Hata mie nlijaribu pakti 4 tofauti sikufa nliishia kuharisha na kutapika

Nakuja PM mkuu unipe jina na rangi ya hiyo sumu iliyokupelekesha nami niitafute.
Jamani🙆🏼‍♀️🙆🏼‍♀️
 
Mkuu hujafunguka ila naona ulipitia kipindi kigumu na familia...pole

"corona ipo tuchukue tahadhari"
Ni changamoto tu mkuu ila angalau sasa. Nawaza nisimulie lakini kila nikitaka kukumbuka hali ile naona ngoja kwanza. Panapo majaaliwa nitagusia kidogo kesho lakini stori kamili nimepanga kuitoa 21/09 kama nikijaaliwa uzima.
 
Ukweli ni kwamba sumu za panya nyingi zinazouzwa hazina madhara kiivyo kwa binadamu. Hata mie nlijaribu pakti 4 tofauti sikufa nliishia kuharisha na kutapika

Nakuja PM mkuu unipe jina na rangi ya hiyo sumu iliyokupelekesha nami niitafute.
Nashauri wewe hata maelezo ya kutumia tu usipewe. Kuna wenginw watakuja kusoma humu aina za sumu ili aida wazitumie kujidhuru ama kuwadhuru wengine. Nadhani kuna haja atakayekuja kutoa kisa chake humu kama yupo aweke code hapo kwenye vitendea kazi. Ni maoni tu.
 
Back
Top Bottom