MBWAMBO NICHOLAUS JR
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 424
- 427
- Thread starter
- #61
Pamoja mkuu komaaaBaada ya chuo niliingia kitaa...!!nikaanza biashara ya cd plus kuingza nyimbo na mazaga ya cm
Mtaji ulipukutika kwa 7b ya matumizi mabaya plus dem pia(nilikuw deep kweny love n girl flan) so nilkuwa najtoa sana kumjali
Then ikafuata break up...japo nliumia ila ilibidi nimuache
Ndipo nlpoanza kuzitafta pesa kwa udi na uvumba....niliweka vocha za kurusha kweny frem flan ambyo familia walliiacha baada ya kufilisi mtaji
Vocha zkakuuza mtaji...nkaongza bidhaa nyngne dkan na nlipanga kuamsha duka la reja
Nikaongeza juhud kwenye kazi za ufundi simu ili nipate mtaji zaidi...
Nakiri mwanzo ilikuw ngum...ila now liko vizuri....na nnaona njia mbele yngu
Kwa sasa wazo la dem na kuajiriwa nmepoteza kichwan....mitego inakuja mingi dukan ila naikwep