MBWAMBO NICHOLAUS JR
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 424
- 427
- Thread starter
- #81
HahaaaaaaMVAHA kwetu ni mzee!
HahaaaaaaMVAHA kwetu ni mzee!
Au na wewe ni wa kule kuleHahaaaaaa
Hahaa hapana.......Au na wewe ni wa kule kule
Nilianza kulima hekari 3 now more than twentyUnanihamasisha kulima we kaka.mwanzo ulianza na hkta ngapi!??
Jamani hongera..kumbe na Mimi nikianza nitawezaNilianza kulima hekari 3 now more than twenty
Cha msingi kupambana tuu mpaka tone la mwishoJamani hongera..kumbe na Mimi nikianza nitaweza
Juzi nimepita mitaa ile ya JANGID PLAZA mida ya wanga nikabaki kucheka tu. Ha ha haaa!!!
Hahaaaaa.....Juzi nimepita mitaa ile ya JANGID PLAZA mida ya wanga nikabaki kucheka tu. Ha ha haaa!!!
Hahah ukapachek pale JANGID PLAZA afu ukasema hiiiiiiiiiiiiiiiiJuzi nimepita mitaa ile ya JANGID PLAZA mida ya wanga nikabaki kucheka tu. Ha ha haaa!!!
Akhsante kwa ushauriCha msingi kupambana tuu mpaka tone la mwisho
Ndo yeye mwenyewe kivingine.
Tupia picha ukiwa field,Ndoto wakati tayari nipo ndani ya field inakuaje ndoto mkuu....
Ndoto means bado practice bado sasa mimi nipo field saivi naendelea kupambana......
Labda sijui wewe huko kitaaa
Masuala ya shambaTupia picha ukiwa field,
Kaka kuoa inabidi kichwa kitulieSijaona mantiki ya wewe kusema hujaoa kwenye Uzi wako, hasa baada ya kutaja hayo mamilioni.