Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

Tulioko kwenye ndoa tupeane uzoefu

nina shogangu yupo veta yy amesarenda asbh nimejikuta namwambi aisee hongera uliweza kudivorce..mie sipend mtu anipangie maisha ya kuishi while najitambua
ndoa ikikosa maelewano haiwi ndoa tena!.........

mtu anaependa kujiamlia mambo yake mwenyewe bila kumshirikisha mwenzake basi ndoa haimfai (hafai kuoa/kuolewa)!!!
 
Hapana mkuu. Niko Single bado
dah jipange na kuwa makini na mahusiano yako..........

haya maneno ya ndoa ngumu ni mengi lkn pia zipo ndoa nzuri na tamu mpk basi...........


Mungu akusaidie na kukufanikisha uje uishi maisha ya furaha ndani ya ndoa yako!!!
 
dah jipange na kuwa makini na mahusiano yako..........

haya maneno ya ndoa ngumu ni mengi lkn pia zipo ndoa nzuri na tamu mpk basi...........


Mungu akusaidie na kukufanikisha uje uishi maisha ya furaha ndani ya ndoa yako!!!
Inshallah boss.
Tatizo hata mahusiano sina bado. Yakitokea nitakua makini nayo mnoo
 
Inshallah boss.
Tatizo hata mahusiano sina bado. Yakitokea nitakua makini nayo mnoo
kama ni hivyo, then uko na nafasi ya kuwa na maisha ya furaha............

first and foremost, marry someone who loves you (kwa wadada)......... lkn uwe unampenda pia!


all the best, kuwa makini na wakware wa jf tho!
 
kama ni hivyo, then uko na nafasi ya kuwa na maisha ya furaha............

first and foremost, marry someone who loves you (kwa wadada)......... lkn uwe unampenda pia!


all the best, kuwa makini na wakware wa jf tho!

Wakware wa huku hawanisumbui hata mkuu. Niko makini nao sana tu.
Mungu akijaalia itakua hivyo. Siwezi olewa na mtu hanipendi wala simpendi
 
Ila hizo ni extremes chache sana sista, and I hope ya manengelo haijafikia huko

unadhan mie kwangu ni 🔥🔥🔥 sijafika huko ndiyo ila nimechoka kuishi na mtu anayeniona mie bado mtoto...aman ipo..na nikitaka iwep ni mie kuwa zwazwa sasa mufa mwingine unashindwa fanya mambo ya kujiongezea kipatp kisa umeolewa!hyo i anikera sana..jana nilishindwa kuja piyemu nililate sana then nikawa hoi😊😊 nakuna sasa hv nikuegemee began kidg...
 
unadhan mie kwangu ni sijafika huko ndiyo ila nimechoka kuishi na mtu anayeniona mie bado mtoto...aman ipo..na nikitaka iwep ni mie kuwa zwazwa sasa mufa mwingine unashindwa fanya mambo ya kujiongezea kipatp kisa umeolewa!hyo i anikera sana..jana nilishindwa kuja piyemu nililate sana then nikawa hoi nakuna sasa hv nikuegemee began kidg...
Mie sitaki uvunje ndoa yako bwana, kama hali siyo mbaya kiivyo wee vumilia tu dadaangu, hiyo ndo weakness ya mumeo, so mvumilie tu, naamini hata wewe una mapungufu yako anayoyavumilia. Usiwanyime watoto haki ya kulelewa na wazazi wote 2

Halafu bottomline, Life outsidw there is not promising at all

Karibu niko hewani, tena nina muda sasa hivi wa kujibu instantly
 
Mimi yameshanifika hapa..najikuta nachrlewa tu kurudi homila nataman nimwambie anipe tu space..sijui km new yr itafika sijasema..mtu unakuwa badly treated sana sana..nimechoka...sijui tungekutwa mabikra ingekuwaj jaman
Mmh please don't
 
Mie sitaki uvunje ndoa yako bwana, kama hali siyo mbaya kiivyo wee vumilia tu dadaangu, hiyo ndo weakness ya mumeo, so mvumilie tu, naamini hata wewe una mapungufu yako anayoyavumilia. Usiwanyime watoto haki ya kulelewa na wazazi wote 2

Halafu bottomline, Life outsidw there is not promising at all

Karibu niko hewani, tena nina muda sasa hivi wa kujibu instantly

toka pale nakuandikia ndo namaliza nw khaa mikono imelegeaa..haya soma utulie unijibj ht tmr
 
we naye wale wale tu demi..sijui kwann unamuonaga mume wangu mpole..hana upole yule mkorofi sana ..team weed
Hapana, wewe ndo unamjua vzr mi siwezi mtetea, nahisi umeumizwa sana my dear ila usifanye maamuzi magumu.
Kama ulivyosema kwenye comment yako moja dawa ya hawa watu ni kutafuta hela upate zako na ikiwezekana kumzidi. Ila kama anaingilia utafutaji wako sasa ni issue nyingine.
Nakuelewa maana tunafanana kidogo.
 
Mie kila deal nikipat namwambiaga tena namuomba aparticpate kbs..hachangii kitu abaishia kuwa km dalali yaan kuna biashara 1 naifanya anatka ale ya udalalimume huyo..alafu bora niwe mchoyo mie siujui uchoyo demi yaan akiniombaga hela namuonea huruma nampa..namsaidia mno kuliko yy anavynisaidia aisee na sipend kbs kuhesabu mazuri nayomfavor coz upendo hauhesabu mazuri.. ila ss nanote pemben tu baaday as ushahidi.. unamjua yule mzung wa pale tulipokaa 1st tym?a afanya tumbaku?kasema natembea naye mzungu mwathirika yule..sasa nimemwambia ..mzungu hanuju ht jina..kisa katukuta tumesimama sehem 1 yy anayake namm nayangu...bas ananiambia atamhamisha mkoa... demi ww!
Hatari. Mi naona mlipofikia mnahitaji counseling wote wawili, jaribu kutafuta watu ambao watawasikiliza na kuwashauri . Hebu kabla hujafanya maamuzi uliyonayo jaribu kuokoa ndoa yako kwa mara ya mwisho.
Nina majanga lkn naona yako ni makubwa zaidi.
 
Hatari. Mi naona mlipofikia mnahitaji counseling wote wawili, jaribu kutafuta watu ambao watawasikiliza na kuwashauri . Hebu kabla hujafanya maamuzi uliyonayo jaribu kuokoa ndoa yako kwa mara ya mwisho.
Nina majanga lkn naona yako ni makubwa zaidi.

😂😂😂👏naishiaga kucheka..delete hyo comment ulonikwot... namwambiaga anasema achana na marafiki zako uone km tutagombana... bas niwe na rafiki mie wala sna..khaa asikuone unaongea na mwanamke mjini anasema huy7 naye wale wale tu😂😂😂
 
Back
Top Bottom